Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,738
- 7,688
HAJANITENDEA HAKI : WAMECHUKUA ACCOUNT ZANGU ZA INSTAGRAM.
Mshambuliaji anasema baada ya kuanza mchakato wa kurudi #EFMnaTVE, account zake za instagram zilidukuliwa.
Asema hajui ni nani amefanya kitendo hicho, anasikia watu wengi wakihisi watu lakini yeye hajui ni nani.
Hawa watakua Wachafu wa Roho hakuna wengine,. Sadala ana roho ya kwanini
Mshambuliaji anasema baada ya kuanza mchakato wa kurudi #EFMnaTVE, account zake za instagram zilidukuliwa.
Asema hajui ni nani amefanya kitendo hicho, anasikia watu wengi wakihisi watu lakini yeye hajui ni nani.
Hawa watakua Wachafu wa Roho hakuna wengine,. Sadala ana roho ya kwanini