Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,333
Na walimu 10,000 wa Kenya walioambiwa wajiandikishe wanatoka Commoro?
KWa sababu Raia wa Rwanda na Burundi walishapewa option ya kuwa raia wakakataa na option ya ku legalize wakataa na ndio maana wakishikwa tu lazima warudishwe. Maana option zingine hazifanyi kazi zaidi ya hiyo ya kuwarudisha.
Msikilize huyu ndo aliwapa option hizo, sasa wewe unatagemea nini? msikilize huyu bwana mpaka mwisho.
PRESIDENT KIKWETE ON ILLEGAL IMMIGRANTS' REPATRIATION FROM TANZANIA - YouTube
kwa hiyo wewe unataka kuishi tanzania kwa nguvu kwani huna kwenu?
mkuu apo kwenye red,wameambiwa walipie dollar 2000 sawa na 3,200,000 kwa mwaka kwa kila mwalimu na uwa inapanda kila mwaka,je wale wamalawi waliambiwa walipe ?
Hapo kuna issue gani wakati serikali inatimiza wajibu wake? au nawe mhamiaji haramu? kama mtu alichukuliwa kwa mahojiano akaonyesha vilelezo kisha akaachiwa kuna ubaya gani? kwanza huyo jamaa si ndiyo yule aliyeleta thread ya kuichafua Tanzania katika sakata la Immigration JNIA Airport?
Mi nashangaa jambo moja,hiyo operation inaangalia Raia wa mipakani tu mbona wanawaacha Wachina na Wahindi wamejazana kibao viwandani na mitaani???? Mfano mzuri waende Kiwanda cha Nguo 21st Century pale Morogoro mule ndani ya kiwanda wapo wengi na hawatoki mule ndani hata siku moja mwisho getini
Wamalawi sio wafanyakazi hawahitaji working permit, watalipia bei ya residence card, pale watakapopewa hizo card. Tofautisha kati ya working permit na kadi ya makazi. Hiyo bei hapo juu ni ya working permit, kwa wamalawi wanaofanya kazi nao itabidi walipe hiyo dolla. Lakini umemsikiliza huyo bwana mpaka mwisho? link niliokuwekea hapo juu.
Watanzania asilia wapo. Ni wale waliokutwa na mkoloni, wakazaana na hadi leo hii tuko na vitukuu vyao. Fuvu la mtu wa kale sana duniani lilipatikana Ngorongoro, Tanzania. Hii yote inathibitisha kuwa Watanzania asilia wapo. Swali lako kwa maofisa wa uhamiaji halikuwa na mashiko.
jidodo jaribu kutumia busara na kama hauna kakope tafadhari. Unatia aibu tu kwa JF pamoja na Taifa. Huyu jamaa ana issue!
Ninajua labda wewe ni employee katika baadhi ya vyombo hivi. hivyo sishangai ukitoa comments za namna hiyo. Lakini kumbuka kuwa hao jamaa wakti mwingine hawatumii hata akiri ndgu yangu!! Jaribu kufikiri hata kidogo! Hawatumii akiri you might think these People have never been to School! Pili wewe hili swala halijakugusa labda hata ndugu yako hajaguswa lkn kwa watu ambao wamesumbuliwa nafikiri wana haki ya kuwakemea hawa watu. Mawazo ya Rais yalikuwa mazuri lkn watendeja ni mbumbumbu labda kama WEWE!
Wewe lazima utakuwa mtusi.vizuri. lakin mbona raia wa uganda.kenya na rwanda watimuliwe kama mbuzi na raia wa malawi waambiwe wakajiandikishe wapate vibali? nijibu mkuu
Watanzania asilia wapo. Ni wale waliokutwa na mkoloni, wakazaana na hadi leo hii tuko na vitukuu vyao. Fuvu la mtu wa kale sana duniani lilipatikana Ngorongoro, Tanzania. Hii yote inathibitisha kuwa Watanzania asilia wapo. Swali lako kwa maofisa wa uhamiaji halikuwa na mashiko.
Hacha kuipotosha dunia! Tanzania haipo kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Mkoloni hakuwahi kuikuta Tanzania wala kuwakuta Watanzania!
Na tukiendelea na siasa hizi za maji taka na kwa fikra hizi za kichwa nazi kamwe hatutafika mbali!!!
vizuri. lakin mbona raia wa uganda.kenya na rwanda watimuliwe kama mbuzi na raia wa malawi waambiwe wakajiandikishe wapate vibali? nijibu mkuu
Watanzania asilia wapo. Ni wale waliokutwa na mkoloni, wakazaana na hadi leo hii tuko na vitukuu vyao. Fuvu la mtu wa kale sana duniani lilipatikana Ngorongoro, Tanzania. Hii yote inathibitisha kuwa Watanzania asilia wapo. Swali lako kwa maofisa wa uhamiaji halikuwa na mashiko.
INASIKITISHA SANA!
Yaani tunabaguana kwa sababu ya mipaka aliyoacha MKOLONI?
Hatukumbuki kabisa kabla ya kuja wakoloni Afrika ilikuwa ni moja.Japokuwa kulikuwa na tofauti za kikabila za hapa na pale lkn bado tuliheshimiana na kushirikiana katika mambo mbalimbali ya kijamii na kiuchumi.
Leo hii kutokana na mipaka ambayo wakoloni waliiweka kutokana na mkutano wa Berlin miaka ya 1880,tunaitana WAKIMBIZI na WAHAMIAJI HARAMU!Hv hizi dini tunazoziamini zinatusaidiaje?Tunaamini kuwa Mungu yupo wakati huohuo tunafanya vitendo kama Mungu hayupo.
TUACHE UNAFIKI!