Radhia acha ujinga (ready to be banned) na kama huna la kuchangangia mujadara bora ukae kimya. Sio lazima jinga kabisa. Binafsi siwafahau kwa ukaribu akina Ulimboka, Mwangosi. N.k but we can. Just relax. While innocent people wanauawa na kunyanyaswa na wajinga kama wewe kana kwamba nchi haina wazawa, nasema wazawa maana sioni kama tuna serikali na pia najaribu kufikiria kidogo tu kwamba hivi mtu kama Radhiwa akipata mamlaka itakuwaje? Familia yake ikoje? Tumuogope Mungu!
mods tafadhali nakuomba mpige ban huyu jamaa anaetoa matusi hapa kwani pia ameomba mwenyewe.msimuache tafadhali,mtakuwa hamtendi haki hapa jukwaani