Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Kwa taarifa nilizo nazo mpaka sasa ni kwamba kesho Jumatano Septemba 12, 2012 saa nne asubuhi kuna kongamano kubwa linaloshirikisha waandishi wa habari, madaktari, asasi zote za kiraia, madhehebu ya dini, nk. madhumuni ya hiyo platform ni kupinga mauuaji ya Daudi Mwangosi na kutoa tamko la pamoja pia kuhusu kufunguliwa kwa gazeti la mwanahalisi.
karibuni wote tusikose jamani.
Update:
Taarifa zinasema Mwakilishi wa Dk. Ulimboka atakuwapo pia TGNP leo na suala la Ulimboka litaanikwa upya. Wanatajwa kuwapo wadau mbalimbali watakaozungumza akiwamo Jenerali Ulimwengu na wahadhiri kadhaa wa Vyuo Vikuu nchini na Saed Kubenea naye atakuwapo. u
karibuni wote tusikose jamani.
Update:
Taarifa zinasema Mwakilishi wa Dk. Ulimboka atakuwapo pia TGNP leo na suala la Ulimboka litaanikwa upya. Wanatajwa kuwapo wadau mbalimbali watakaozungumza akiwamo Jenerali Ulimwengu na wahadhiri kadhaa wa Vyuo Vikuu nchini na Saed Kubenea naye atakuwapo. u