Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Taarifa zinasema Mwakilishi wa Dk. Ulimboka atakuwapo pia TGNP leo na suala la Ulimboka litaanikwa upya. Wanatajwa kuwapo wadau mbalimbali watakaozungumza akiwamo Jenerali Ulimwengu na wahadhiri kadhaa wa Vyuo Vikuu nchini na Saed Kubenea naye atakuwapo.