Mauaji ya mtoto wangu

Mauaji ya mtoto wangu

Dah pole sana mkuu Mungu atakulipia hivi huyo mwanamke mtoto alimzaa kweli yy unawezaje kumwachia baba mtoto mtoto hata mwezi hana na huko alipo alikuwa anaishi kwa raha kabisa au alipewa bure huyo mtoto
Shinikizo la wazazi bibie.... kwa maelezo yake hiyo familia ya mwanamke ni wakorofi sana... Mungu kamuepusha na mengi.
 
Shinikizo la wazazi bibie.... kwa maelezo yake hiyo familia ya mwanamke ni wakorofi sana... Mungu kamuepusha na mengi.
Yaani huwezi amini shinikizo la wazazi alilifurahia kweli kweli akatupa mtoto hapo akaenda kudate na wanaume wengine mimi huku ninalea mtoto.
 
Binadamu ni wanyama wenye roho mbaya kuliko wanyama wote duniani.

Pole sana mkuu.
 
Aiseee pole sana kwa kadhia hiyo, mungu yupo na ndiyo ajuwaye kesho ya kila binadam.
 
Pole mno. Mungu atakubariki kwa watoto wengi na wazuri. Ni ngumu kwa hali ya ubinadamu ila Mungu ni wepesi. Inauma sana. Ila wazazi wanaofanya binti kitenga Uchumi Mungu anawaona. Pia kweli bibi ambaye umeshazaa ukaona uchungu unakubali kutenga binti na katoto ka siku 20? Ni wauaji wakubwa hawa. Naomba Mungu isije ikatokea kwa kizazi Changu unyama huu wa kumtenga mtoto wa siku 20 na mama. Hata wa mwaka nitalea awe wa mtoto wa kike au wa kiume sitamwachia akalelewe nisikofahamu. Rest in Peace Angel.
 
Pole mno. Mungu atakubariki kwa watoto wengi na wazuri. Ni ngumu kwa hali ya ubinadamu ila Mungu ni wepesi. Inauma sana. Ila wazazi wanaofanya binti kitenga Uchumi Mungu anawaona. Pia kweli bibi ambaye umeshazaa ukaona uchungu unakubali kutenga binti na katoto ka siku 20? Ni wauaji wakubwa hawa. Naomba Mungu isije ikatokea kwa kizazi Changu unyama huu wa kumtenga mtoto wa siku 20 na mama. Hata wa mwaka nitalea awe wa mtoto wa kike au wa kiume sitamwachia akalelewe nisikofahamu. Rest in Peace Angel.
Ni maajabu mimi mwenyewe nilishangaa ila ilibidi nilee tu maana ni wangu... na alifika mahali akatoka kabisa akaanza kutembea na kujua kuniita baba, binadamh wakamfanyizia.
 
Yaani katoto ka 20 days hata macho hayajafunguka eti yaani huruma inaumiza hadi tumbo
 
Inatisha saana aisee. Nimejifunza jambo, ukitoka hata Kama Unakwenda kuiba, mkabidhi Mungu familia yako Yote. Pole Sana Mkuu
 
Ni maajabu mimi mwenyewe nilishangaa ila ilibidi nilee tu maana ni wangu... na alifika mahali akatoka kabisa akaanza kutembea na kujua kuniita baba, binadamh wakamfanyizia.
Mtegemee Mungu
 
nakazia...pole sana, Mungu akujalie wepesi katika yote.
 
Pole sana, nikivivaa viatu vyako hata siwezi, mtoto wangu anaushika moyo wangu kumuua ni sawa na kuniua Mimi, walai nasema haijalishi huko maabusu nitakulipa tu na naweza kwenda mbali zaidi.
Issue yako wapo wasomaji humu ambao wanasimamia mamlaka husika, ungetaja tu majina, pengine ungepata msaada zaidi hata wakurudishiwa hela yako.
 
Back
Top Bottom