Mauaji ya mtoto wangu

Mauaji ya mtoto wangu

Duuh mwili umesisimka, pole sana Mungu atakujaalia utabarikiwa wengine.
 
Sasa mkuu umeishia njiani. Walitaka milioni 1 ya nini hasa? Uliwamalizia? Yule mama uliyemshuku mliishiana vipi?
Jamaa hamlewi hiyo milioni anadaiwa ya nini. Mchawi namba moja ni baba wa mama mtoto, yaani mtoto wa wiki tatu akalelewe na baba peke yake?
 
Mtoto hana hata mwezi unamgawa ? Utalala usingizi kabisa ?
Tumetofautiana mioyo unaanzaje kumgawa mtoto wa siku 20 yaani siwezi, huyo mama kachangia kifo cha mwanae labda angebaki nae yasingetokea.
 
Pole sana Mkuu, Mungu azidi kukutia nguvu, ila kuna watu wana roho ngumu sana, huyo mtoto sijui alipata maumivu gani jamani, dah, R.I.P mtoto
 
Tumetofautiana mioyo unaanzaje kumgawa mtoto wa siku 20 yaani siwezi, huyo mama kachangia kifo cha mwanae labda angebaki nae yasingetokea.
Week tatu hata macho hayajafunguka maskini ni kachanga kabisa yaani daah
 
Daah! Kisa kimoja cha kustaajabisha sana. MUNGU akaendelee kuwa upande wako daima Mkuu. Apumzike kwa amani Malaika ktk jina LA YESU Mnazareth.
 
Asee ngoja nitulie aseer

Humu duniani kumbe kuna watu wapo ili matukio yajirudie


Hili tukio kama lilivyo nimelishuhudia miaka ya nyumabkidogo huko mkoani morogoro miaka ya 1989 kama sijakosea mitaa ya msufini asee


Mungu akutie nguvu
 
Dah pole sana mkuu Mungu atakulipia hivi huyo mwanamke mtoto alimzaa kweli yy unawezaje kumwachia baba mtoto mtoto hata mwezi hana na huko alipo alikuwa anaishi kwa raha kabisa au alipewa bure huyo mtoto
 
Back
Top Bottom