Kumezuka wimbi la mauaji ya
wasichana Nchini Rwanda. Mpaka
sasa wanaohusika na mauaji hayo
hawajajulikana.
Mauaji hayo yanawalenga wasichana
makahaba. Kwa mwezi huu wa Agosti pekee, wasichana 15
wamekwishauawa kwa njia mbali
mbali ikiwa ni pamoja na kukatwa
katwa kwa vitu vya ncha kali au
kunyongwa.
Jana mchana kuna habari ya kuwa wasichana watatu waliuawa kwa
kunyongwa kwenye nyumba moja
ambayo ipo sehemu ya makazi ya
watu wengi.
CHANZO: Sauti ya Ujerumani - Kiswahili, leo mchana
wasichana Nchini Rwanda. Mpaka
sasa wanaohusika na mauaji hayo
hawajajulikana.
Mauaji hayo yanawalenga wasichana
makahaba. Kwa mwezi huu wa Agosti pekee, wasichana 15
wamekwishauawa kwa njia mbali
mbali ikiwa ni pamoja na kukatwa
katwa kwa vitu vya ncha kali au
kunyongwa.
Jana mchana kuna habari ya kuwa wasichana watatu waliuawa kwa
kunyongwa kwenye nyumba moja
ambayo ipo sehemu ya makazi ya
watu wengi.
CHANZO: Sauti ya Ujerumani - Kiswahili, leo mchana