Mauaji ya Arusha!

hahahaha
yaani unamaanisha siku hizi hata wakitaka kuiba mayai ni kutumia pisto? tunako elekea sasa ndiko tulikokkuwa tunakuhitaji
 

mkuu tunasubiri mshindonyuma
 

Yaweza ikawa kweli lakini naamini majambazi hawaji kwako kama hawakujui vizuri, mpaka wanamvamia huyo dada lazima watakuwa walishafanya study zao kama ana silaha au la, kuna jirani mwenye silaha hayo maeneo na vingine na ndo mana wakiingia wanakuwa wanajiamini wanachukifata HAWANA sababu ya kumuua wakati wanajua hana cha kuwafanya, labda kama tu umewatambua ndo watakumalizia, kiukweli mwisho wa siku tu utajua visasi Arusha.
 
Wajibu wa kulinda maisha ya watu na mali zao ni wajamii nzima, Polisi ni wawezeshaji tu.Mm bado napata wasiwasi kama wezi wateka nduka la mtu mchana kweupe na Kibastora kisha wanaondoka na kutokomea bila hata kupigiwa kilele.Hiyo jamii inayozunguka mitaa hiyo iko wapi?Jamani tushikamane kuzuia umwagaji damu wa aina hii.Pole sana kwa wafiwa😛oa
 

1 milion watu tunainywa bia siku moja nyie mnamuua dada wa watu? tena mwenye elimu yake.. si mngekuja hata hapa jf muweke contacts zenu niwatumie mawe.dah so sad
 

Ndugu yangu hii mambo wakati mwingine unaweza umiza kichwa bure, lakini watu wanakuwa na mchongo ukijipendekeza tu unajumlishwa siku hizi kama kenya kila mtu na hamsini zake hasa ukizingatia walikuwa na cha moto balaaaa.
 
bwana asema mwil wa binadam ni hekalu langu no one shall destroy it, chota mali ila roho yake muachie :embarassed2::embarassed2:
 


jamani hii ni kweli au utani ndugu mishkaki?nani kampa au kamuibia mzee wake?basi we are extremely doomed if its true.
 
You must be joking.... Lol
Juzi mtoto wa jirani yangu amekutwa anachezea risasi 16 na pingu alivyookota vikiwa vimesundwa kwenye shamba na mtu ambaye hajajulikana mpaka sasa, vibaka wadogo sana wanamiliki hizi pachacha ambazo hazina kibali.
 
Halafu mtu eti anasema Dodoma tu maisha magumu, anacheza nini!!
 
poleni wafiwa..........roho ya marehemu dada ipate rehema kwa Mungu. Amina
hali inatisha sana hasa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka
 
Ni mwezi sasa umepita the same street maeneo ya daraja moja kuna mzee wamemuua akitoka dukani kwake wakachukua hesabu ya siku.
 
inabidi muwachome vibaka wote
arusha wanaogopana kutaja vibaka na majambazi akihoifa akimtaja watamfuata kumkomoa
majambazi wanajulikana sana polisi nao wanawalinda inabidi wananchi muanze wenyewe
 
Aliyeuawa ni MUME wa huyo dada. Kuna utata mwingi kuhusiana na kifo cha huyu ndugu!
 
Mkuu hii habari inakanganya sana..wengine wanasema ni mke, wengine wanasema ni mume, pia wapo wanaosema wote mke na mume. bado kuna utata kwenye hizi habari wakuu

Aliyeuawa ni MUME wa huyo dada. Kuna utata mwingi kuhusiana na kifo cha huyu ndugu!
 
Mkuu hii habari inakanganya sana..wengine wanasema ni mke, wengine wanasema ni mume, pia wapo wanaosema wote mke na mume. bado kuna utata kwenye hizi habari wakuu

watoa habari hawataki kutupa mshindo nyuma,sasa tumekuwa gizani
 

inasikitisha sana kuona mtu anapoteza maisha lakini hii inasababishwa na uongozi mbovu wa nchi hii hali inazidi kuwa ngumu ya kiuchumi watu mioyo yao inabadilika wanakuwa wanyama ,halafu tunadanganywa tanzania kuna amani uongo mtupu huu kumbuka kuna wakati walimpora anne kilango bahati nzuri hawakumfanyia kitu kibaya halafu wakampora mkuu fulani wa wilaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…