Mauaji ya Arusha!

Wow! Its so sad kusikika vitu kama hivi. Raha ya milele umpe eh bwana na mwanga wa milele umwangazie astarehe kwa amani. Pole nyingi kwa waliofikwa na msiba huu. Jeshi la polisi linahitaji kufanya kazi zaidi usiku na mchana kutuondolea watu kama hawa mitaani.
 
Kwa hiyo Mke na MME wameuawa ndani ya juma moja/mwezi mmoja?!, kwa hiyo siyo wizi wa pesa pekeyake bali kuna sababu nyingine!........... Sasa polisi wanatuambia nini?, lets hope wauaji watakamatwa wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
Aliyeuawa ni MUME wa huyo dada. Kuna utata mwingi kuhusiana na kifo cha huyu ndugu!
 
Wasemavyo majirani ni kwamba dada alikubali kutoa pesa kiutulivu ila kwa sababu ya uoga akateleza akaanguka sasa hapo ndo jambazi likadhani ndivyo sivyo likamshoot huyo dada.
Ila ki ukweli silaha ambazo hazina kibali na zenye kibali zimekua nyingi sana hapa arusha, juzi mitaa ya Unga LTD kuna mtoto wa form one kateka mishkaki mitano kutoka kwa muuza chips kwa kutumia bastola.

hahahahahaaaaaa!!!
Heeee!!
Hii kiboko, yano dogo amemshikia muuza chips kitu cha baridi, anamwambia weka mishkaki fasta.....tena idadi yake iwe mitano.
Dadeki miaka 50 ya uhuni wa ccm.
 
hahahahahaaaaaa!!!
Heeee!!
Hii kiboko, yano dogo amemshikia muuza chips kitu cha baridi, anamwambia weka mishkaki fasta.....tena idadi yake iwe mitano.
Dadeki miaka 50 ya uhuni wa ccm.
hehehehe...umeona eeh:lol:
 
Back
Top Bottom