Mauaji Chuoni Muhimbili

Mauaji Chuoni Muhimbili

Heshima mbele kaka. Naona unajisifia killings enh!! Ya mwanadamu mwenzako. Na kusema serikali inashindwa kulinda proffesisionals as if watanzania wengi ambao si professionals kwao ulinzi si stahiki. Haya ni mambo ya kibinafsi saana. Kama watu wangekuwa wanauwa nadhani asingebaki mtu. Wale madaktari wanaoiba muda wa mwajiri na kufanya mambo yao, wanaoiba dawa, rushwa nk. Huwezi kukaa na kuandika kuusia killings, I am sure sio wewe, something is wrong somewhere.

Hata wao wanaojiita professionals kua vibaka ndani yao! Pale KCMC kulikuwa na jamaa anashare nyumba uswahilini wkawa wanaibiwa kila siku kumbe sio mtu wa mbali alikwa house met. Walimpa kichapo na mwisho wakamhamisha!
 
Sio mwanafunzi, alikua ni mwizi alitaka kuiba laptop kwenye chumba cha binti mmoja hivi, lakini yule binti alishituka na kupiga kelele, hata hivyo jamaa alikimbia na kujificha.
Alipotafutwa alikosekana, zikatolewa taarifa kwa walinzi wa getini, hali alipokua shwari jamaa alitoka mafichoni na kujaribu kutoka, ndipo alipokamatwa na kupigwa adi kifo.

Kupigwa hadi KUFA Mhimbili??? Je hao madaktari ama wanafunzi wa udaktari huwa wanawatibu kweli vibaka wenye PF3 za kutokana na vipigo vya wananchi wenye hasira? Najitahidi kuelewa haya yametokea Muhimbili
Wakuu, ni kweli vibaka wanakera lakini kuwaua hakutibu tatizo wala kupunguza vibaka. Jamii itambue na kutafuta njia mbadala ya kuzia vijana wasiingie kwenye fani hii badala ya kuwatibu kwa umauti

 
Nimeelewa.........................Kumbe kuuwa ni sehemu ya mafunzo Muhimbili?Sasa wale wa kusingizia vibaka watatibiwa wapi?
 
Another example of a lawless society. People take it upon themselves to administer justice and such are the results. The punishment doesn't fit the crime. I wish the same kind of justice to one day befall the thieves in the higher echelons of government who continuously perpetrate malfeasance with impunity.

R.I.P. to the young man.
 
Thank you Guyton (hili likitabu linanikumbusha mbali sana... i hope umetumia kinunda vizuri

thank sana kwa taarifa, ukweli ni kwamba muhimbili university imekua victim sana wa wizi... nakumbuka in teh nineties wakati tunasoma pale tulikua tunaibiwa sana tukachoka na kutandika vibaka, in one year about 8 were killed and others we decapitated (au lkulemaa mawodini) hadi wakatukoma

ushauri wangu ni kwamba ... serikali imeshindwa kulinda noble profesionals, fanyeni mnachoweza kujilinda kuna siku watawaelwa

mambo ya Guyton and Hall...
sikumbuki wizi pale zaidi ya kukimbizana na malaya wa Jolly!Lakini its not fair mkuu,huyo kijana ni njaa tu ilikuwa inamsumbua.Wangejaribu kuokoa maisha yake
 
dawa ya mwizi ni kumakata vidole tu vya mikono kumuua sio vyema...kumbuka kila binadam ana haki ya kuishi
 
watu wengine wanapenda kujulikana kwa upumbavu babala ya kujadili mada husika wanajifanya wanajua kutukana,kama hujui kitu bola ukae kimya kuliko kuropoka mi najua kwamba jf ni tofauti kidogo na hizi social network nyingine.
 
Domo Zege, no wonder umechagua hili jina, usiwe na hasira lakini maana taarifa zaidi utazipata tuu humu humu, mimi nina uhakika na taarifa hii sema nimekosa taarifa zaidi kwa haraka kutokana na namna nilivyozipata.

Pamoja mkuu, niuie radhi kwa neno nililotumia
 
Nimeshuhudia yule kijana akila kichapo !! Wakati anapigwa alikuwa anataja jina fulani kuwa ndiye wanampelekea hizo Laptop, na akawa anasema zipo nyingi tu huko. So baaad kama alikuja kufa baadae, he has gone with very important information!!.
 
Nimeshuhudia yule kijana akila kichapo !! Wakati anapigwa alikuwa anataja jina fulani kuwa ndiye wanampelekea hizo Laptop, na akawa anasema zipo nyingi tu huko. So baaad kama alikuja kufa baadae, he has gone with very important information!!.

Oya- dogo mwenyewe ni yule kibonge mweusi?
 
oya- dogo mwenyewe ni yule kibonge mweusi?
hahha!! Naona mshkaji wako kapotea kitaa sio?
Man ukiwa na shida sana usifuate nyayo zake tuwe tunatumiana pm tupeane madili ana michongo , laptop bei yake haizidi hadi milioni mbili
 
oya- dogo mwenyewe ni yule kibonge mweusi?
mwana anaweza kukujibu



nimeshuhudia yule kijana akila kichapo !! Wakati anapigwa alikuwa anataja jina fulani kuwa ndiye wanampelekea hizo laptop, na akawa anasema zipo nyingi tu huko. So baaad kama alikuja kufa baadae, he has gone with very important information!!.
 
hahha!! Naona mshkaji wako kapotea kitaa sio?
Man ukiwa na shida sana usifuate nyayo zake tuwe tunatumiana pm tupeane madili ana michongo , laptop bei yake haizidi hadi milioni mbili

Hamna bob, unajua mi nimesoma Azania 2008/10. Sasa kuna msela flani alikuwa anajifanza denti wa Tambaza ECA, alikuwa anakuja kusoma Forest Azania. Cha ajabu sikuwahi kumwona na sare, afu tulivyowauliza wana wa Tambaza wakashangaa kwani wao walijua mwana anasoma kwetu. Kupeleleza zaidi ikasemekana mwana yuko long tyme anavunga wakusoma, sasa na hii stori kama namhisi hivi....
 
Hamna bob, unajua mi nimesoma Azania 2008/10. Sasa kuna msela flani alikuwa anajifanza denti wa Tambaza ECA, alikuwa anakuja kusoma Forest Azania. Cha ajabu sikuwahi kumwona na sare, afu tulivyowauliza wana wa Tambaza wakashangaa kwani wao walijua mwana anasoma kwetu. Kupeleleza zaidi ikasemekana mwana yuko long tyme anavunga wakusoma, sasa na hii stori kama namhisi hivi....

Ha ha haa!! Hamna, huyo siyo, yeye ni mweusi lakini siyo kibonge. Ila inaonesha ni mwenyeji wa maeneo ya arround upanga, kitu kama hicho. Na alikuwa anaclaim kuwa laptop walikuwa wakizipeleka maeneo ya bakhresa pale baada ya fire. Anyway, mimi sikupata information nyingi, nilikuwa nawahi wodini!! Kuattend majeruhi wengine kama yeye, nikajaribu kusikilizia kama angeletwa in vain!! Mpaka nikapata habari kuwa alikuja kufariki, so sobbing!!
 
Ha ha haa!! Hamna, huyo siyo, yeye ni mweusi lakini siyo kibonge. Ila inaonesha ni mwenyeji wa maeneo ya arround upanga, kitu kama hicho. Na alikuwa anaclaim kuwa laptop walikuwa wakizipeleka maeneo ya bakhresa pale baada ya fire. Anyway, mimi sikupata information nyingi, nilikuwa nawahi wodini!! Kuattend majeruhi wengine kama yeye, nikajaribu kusikilizia kama angeletwa in vain!! Mpaka nikapata habari kuwa alikuja kufariki, so sobbing!!

Lakini ndo watakuwa walewale, mtu mwongo mwongo hata sio wa kumuamini. Inauma sana kuibiwa man, thats y watu wanatokwa na ubinadamu.
 
Ha ha haa!! Hamna, huyo siyo, yeye ni mweusi lakini siyo kibonge. Ila inaonesha ni mwenyeji wa maeneo ya arround upanga, kitu kama hicho. Na alikuwa anaclaim kuwa laptop walikuwa wakizipeleka maeneo ya bakhresa pale baada ya fire. Anyway, mimi sikupata information nyingi, nilikuwa nawahi wodini!! Kuattend majeruhi wengine kama yeye, nikajaribu kusikilizia kama angeletwa in vain!! Mpaka nikapata habari kuwa alikuja kufariki, so sobbing!!

dah! angalau analysti umenipa matumaini.
mimi niliishakata tamaa kutokana na baadahi ya michango hapo juu kutoka
waliosoma muhimbili univ. wakipongeza kujichukulia sheria mkononi na kutoa rioho
 
maskini kijana wa watu hakupewa 2nd chance .. ingekuwa katika nchi zenye sheria za kiislam angekatwa kiganja tu.. ile amputation ina hekima kubwa sana... bongo wezi wanapigwa kiberiti watu hawalii haki za binaadamu, nchi za kiislamu anafanyiwa simple kiganja amputation watu wanalia haki za binaadamu.
 
Someone is preaching for Sharia! Hell no way in Tzania.
 
Back
Top Bottom