Mauaji Chuoni Muhimbili

Mauaji Chuoni Muhimbili

Mnyonywaji

Member
Joined
Feb 6, 2008
Posts
55
Reaction score
2
Wana Jamii,

Nimepata taarifa kwamba kuna mwanafunzi ameuawa pale Chuo Muhimbili. Mwenye taarifa kamili au aliyepo karibu na maeneo hayo atujuze tafadhali.
 
habari mbaya sana hii!! rip ....tatizo ni mapenzi siasa au itakuwa ni nini? more details pls guys
 
Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika
 
Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika

relax baab! jf hatuendi hivyo
 
Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika
Ni kweli taarifa yake si kamilifu, lakini kumwita hivyo ulivyomwita, wewe ndiye unashangaza kuliko taarifa alizoleta!
 
Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika

Acha hizo wewe, jf tunaitegemea kwa kupata taarifa.....kama huna taarifa tulia kuliko kumuita mwenzako chizi, walio na taarifa watajibu!
 
Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika

mkuu hasira za nini?
 
Domo Zege, no wonder umechagua hili jina, usiwe na hasira lakini maana taarifa zaidi utazipata tuu humu humu, mimi nina uhakika na taarifa hii sema nimekosa taarifa zaidi kwa haraka kutokana na namna nilivyozipata.

Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika
 
Sasa na wewe chizi, unakuja na taarifa ambayao haijakamilika nani kakuambia hii ni sehemu ya kuuliza?.Iyo source iliyokuambia kuna mauji yamefanyika ungeuliza vizuri wakupe taarifa za kutosha.Pia ungeweka kama tetesi maana huna uhakika

Kiburi si maungwana,muheshimu mkubwa kwa mdogo nawe upate kuheshimiwa,kama busara imekwisha kwako basi waweza jiondoa JF ili kupunguza hasira zitazo kukabili kwa kila usomapo Threads za wana JF

Tuendelee kusubiri wenye majibu watatupa,kwani habari hupatikana kwa mtindo huu wa kuuliza na kujibiwa kwa wale wanaojuwa chanzo cha habari husika
 
Sio mwanafunzi, alikua ni mwizi alitaka kuiba laptop kwenye chumba cha binti mmoja hivi, lakini yule binti alishituka na kupiga kelele, hata hivyo jamaa alikimbia na kujificha.
Alipotafutwa alikosekana, zikatolewa taarifa kwa walinzi wa getini, hali alipokua shwari jamaa alitoka mafichoni na kujaribu kutoka, ndipo alipokamatwa na kupigwa adi kifo.
 
Kijana mwenyewe alikua anaishi tambaza, alisoma shule ya msingi muhimbili, akajiunga na Azania secondary school, ila akumaliza, aliishia kidato cha tatu.
Ni habari za kusikitisha, ila kibigo chake kimetokana na hasira kubwa ya wanafunzi kwani wizi wa laptop anaongezeka, mpaka sasa takribani laptop 15 zimeshaibiwa.
 
Sio mwanafunzi, alikua ni mwizi alitaka kuiba laptop kwenye chumba cha binti mmoja hivi, lakini yule binti alishituka na kupiga kelele, hata hivyo jamaa alikimbia na kujificha.
Alipotafutwa alikosekana, zikatolewa taarifa kwa walinzi wa getini, hali alipokua shwari jamaa alitoka mafichoni na kujaribu kutoka, ndipo alipokamatwa na kupigwa adi kifo.

tukio lilitokea usiku, mida ya saa sita
 
Kijana mwenyewe alikua anaishi tambaza, alisoma shule ya msingi muhimbili, akajiunga na Azania secondary school, ila akumaliza, aliishia kidato cha tatu.
Ni habari za kusikitisha, ila kibigo chake kimetokana na hasira kubwa ya wanafunzi kwani wizi wa laptop anaongezeka, mpaka sasa takribani laptop 15 zimeshaibiwa.
Thank you Guyton (hili likitabu linanikumbusha mbali sana... i hope umetumia kinunda vizuri

thank sana kwa taarifa, ukweli ni kwamba muhimbili university imekua victim sana wa wizi... nakumbuka in teh nineties wakati tunasoma pale tulikua tunaibiwa sana tukachoka na kutandika vibaka, in one year about 8 were killed and others we decapitated (au lkulemaa mawodini) hadi wakatukoma

ushauri wangu ni kwamba ... serikali imeshindwa kulinda noble profesionals, fanyeni mnachoweza kujilinda kuna siku watawaelwa
 
  • Thanks
Reactions: p53
Sio mwanafunzi, alikua ni mwizi alitaka kuiba laptop kwenye chumba cha binti mmoja hivi, lakini yule binti alishituka na kupiga kelele, hata hivyo jamaa alikimbia na kujificha.
Alipotafutwa alikosekana, zikatolewa taarifa kwa walinzi wa getini, hali alipokua shwari jamaa alitoka mafichoni na kujaribu kutoka, ndipo alipokamatwa na kupigwa adi kifo.

Kijana mwenyewe alikua anaishi tambaza, alisoma shule ya msingi muhimbili, akajiunga na Azania secondary school, ila akumaliza, aliishia kidato cha tatu.
Ni habari za kusikitisha, ila kibigo chake kimetokana na hasira kubwa ya wanafunzi kwani wizi wa laptop anaongezeka, mpaka sasa takribani laptop 15 zimeshaibiwa.

tukio lilitokea usiku, mida ya saa sita
asante kwa taarifa. Hata wangekuwa wamechukua laptop nyingi kiasi gani, thamani yake si uhai. Kuna haja ya wanaharakati kuwageukia wanafunzi walioko vyuoni kuelezwa njia sahihi ya kumshughulikia mhalifu. Hata yakiwekwa matangazo kwenye mbao yataokoa maisha ya watu. Kuna tatizo la wizi kweli tena si kwa wanafunzi tu, lakini wizi wowote haufanani na uhai. Hapo katika wanafunzi wapo wanaopinga adhabu ya kifo kupitia mahakama lakini wapo tayari kuona mtu akiuawa kwa wizi wa laptop.
 
Thank you Guyton (hili likitabu linanikumbusha mbali sana... i hope umetumia kinunda vizuri

thank sana kwa taarifa, ukweli ni kwamba muhimbili university imekua victim sana wa wizi... nakumbuka in teh nineties wakati tunasoma pale tulikua tunaibiwa sana tukachoka na kutandika vibaka, in one year about 8 were killed and others we decapitated (au lkulemaa mawodini) hadi wakatukoma

ushauri wangu ni kwamba ... serikali imeshindwa kulinda noble profesionals, fanyeni mnachoweza kujilinda kuna siku watawaelwa
Heshima mbele kaka. Naona unajisifia killings enh!! Ya mwanadamu mwenzako. Na kusema serikali inashindwa kulinda proffesisionals as if watanzania wengi ambao si professionals kwao ulinzi si stahiki. Haya ni mambo ya kibinafsi saana. Kama watu wangekuwa wanauwa nadhani asingebaki mtu. Wale madaktari wanaoiba muda wa mwajiri na kufanya mambo yao, wanaoiba dawa, rushwa nk. Huwezi kukaa na kuandika kuusia killings, I am sure sio wewe, something is wrong somewhere.
 
Thank you Guyton (hili likitabu linanikumbusha mbali sana... i hope umetumia kinunda vizuri

thank sana kwa taarifa, ukweli ni kwamba muhimbili university imekua victim sana wa wizi... nakumbuka in teh nineties wakati tunasoma pale tulikua tunaibiwa sana tukachoka na kutandika vibaka, in one year about 8 were killed and others we decapitated (au lkulemaa mawodini)
hadi wakatukoma

ushauri wangu ni kwamba ... serikali imeshindwa kulinda noble profesionals, fanyeni mnachoweza kujilinda kuna siku watawaelwa
Aiseee sidhani kama ni haki kuondoa uhai wa mtu kwa laptop tu??Kwani aliyeibiwa atapoteza uhai kwa kupoteza hiyo laptop!??Vibaka watazidi kuwepo kwasababu hali ya maisha nayo inazidi kua mbaya sasa wauwawe mpaka wafike wangapi ndo watu wawe na huruma???Tungekua tunawaadhibu mafisadi hivyo angalau tungepata mabadiliko kweli!!!

Nwy RIP kwa kijana wa watu!!!
 
Hawa wezi hawana utu !mtu anaenda kusoma wodin ili aje kukutibu unamuibia au sometimes kibaka aliyeponea chupuchupu kufa kwa kipigo anatibiwa na daktari then anakuja kumpiga daktari loba ya mbao.
Naungana na MTM kwa kuwa serikali imeshindwa kuweka mazingira mazuri kwa proffesionals wetu kusoma au kufanya kazi basi kilichobaki ni kuish kibabe tu!mkishika mwingine tieni kibiriti kabisa!
RIP.
 
Back
Top Bottom