kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
Haya ni baadhi ya maneno yasio na utata na mod. hapa jf ingawa yanatumika kama kuwakilisha maneno ambayo yakitajwa hadharani unaweza kula Ban la nguvu, ikiwa yakitumiaka namna hii kila mmoja anaelewa inkusudiwa kusemwa nini, ndio kusema lugha inakuwa? mi sijui, ila inabidi yaingizwe kwenye kamusi ya jf ili wageni weweze kuilewa waposoma,
1. cameroon
2. masaburi
3. Tigo
4. ..........................
ongeze list hii
1. cameroon
2. masaburi
3. Tigo
4. ..........................
ongeze list hii