Matusi na Ubabe Bungeni: Behind the scene

Matusi na Ubabe Bungeni: Behind the scene

Nzenzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
858
Reaction score
164
Ni Mkakati wa makusudi kabisa, imeandaliwa na kuratibiwa na Chama kikongwe kwa madhumuni ya kutafuta sababu za kuwahadaa wananchi wakubaliane na mpango wa kusitisha kurusha matangazo ya bunge LIVE (moja kwa moja).
 
Kama ni hivyo basi wameingia choo cha kike sana. Ni haki ya wananchi kusikiliza bunge live na kama watafanya hivyo nadhani duniani itakuwa ni Tz pekee ambao wamefanya hayo.
 
Kama ni hivyo basi wameingia choo cha kike sana. Ni haki ya wananchi kusikiliza bunge live na kama watafanya hivyo nadhani duniani itakuwa ni Tz pekee ambao wamefanya hayo.

Wananchi wa Tanzania hawana Uthubutu, wao ni kulalamika bila kuchukua hatua yoyote. Haiwasumbui chama tawala hata kidogo!
 
Ni heri bunge lisioneshwe LIVE, kama mpango wa maCCM kutuma wabunge wao watukane matusi ya kitandani nani anahitaji kuangalia hilo bunge?
 
Sasa kama ni mpango na CHADEMA wamekubali kuwa provoked na kufanikisha mpango?
 
Once you feel symptoms of CCMonia sickness, immediately treat it with Chademaquine tablets U will be cured. Chademaquine tablets are available all over the country. If illness persists consult Dr.Slaa! SEND THIS INFORMATION TO MORE THAN 50 PEOPLE, DONT WAIT UNTIL 2015.Lets be cured now do not wait to die!
 
Uko sawa,lengo lao wakiacha kurusha matangazo wananchi wasipige kelele kwani watakua hawaoni umuhimu wa kuangalia bunge la vituko na matusi.,LAKINI NIOMBE WANANCHI HATA KAMA ZITAPIGWA NGUMI PALE NDANI TUSIKUBALI BUNGE KUTOONYESHWA LIVE KWA KISINGIZIO CHOCHOTE NA WALA TUSIKUBALI KUFANYIWA MASAHIHISHO NDIO LIRUSHWE.
 
Lengo ni wananchi kukosa habari za kina juu ya mambo yanayojiri bungeni.

Kukosa habari za kina kama matusi ya Serukamba ni poa tu. Bonge limepoteza uelekeo tokea bi Kiroboto ashike usukani hakuna jipya zaidi ya malumbano ya vyama hata kwenye hoja za maslahi ya Taifa. Binafsi nimeacha kuangalia bunge
 
Ni vizuri bunge lionyeshwe live ili tuwajue kwa sura wanaotukana.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
Hata mimi nakubaliana na wewe. Kwenye akili yangu imestick hivyo na nimeweka status fb.

Tunasubiri.
 
Once you feel symptoms of CCMonia sickness, immediately treat it with Chademaquine tablets U will be cured. Chademaquine tablets are available all over the country. If illness persists consult Dr.Slaa! SEND THIS INFORMATION TO MORE THAN 50 PEOPLE, DONT WAIT UNTIL 2015.Lets be cured now do not wait to die!

Ndugu let me enlight you, In your posting what you r recommending is the DOOMS DAY, Very unfortunately although i am not affiliated to any Party, whether u believe me or not, Dr.Slaa is never the right choice, nor will he ever be, God forbid that this man ever has any chance to lead this blessed country. He is part of the MOTHER OF ALL EVIL, In Chadema there are many potential leaders 100 times better than, the CHEATING PRIEST who betrayed god just for LUST, What will he do when he has a whole nation at his disposal. While Chadema has people like MBOWE, ZITTO, HALIMA nk, why this guy who still thinks he is at the pulpit he dicrerated. Please stop this foolishness
 
Ni Mkakati wa makusudi kabisa, imeandaliwa na kuratibiwa na Chama kikongwe kwa madhumuni ya kutafuta sababu za kuwahadaa wananchi wakubaliane na mpango wa kusitisha kurusha matangazo ya bunge LIVE (moja kwa moja).
Pamoja na yote haya, kama behind the scene ni mpango wa ccm basi huu ni moja ya mpango uliobackfire na kukiaibisha chama cha mapinduzi.
Watanzania wameshuhudia jinsi ccm wanavyofanya madudu kujikinga na hoja makini za upinzani hasa chadema.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mgosi Mkilindi, sio lazima uamini kile ninachokiamini whether he is or not it has nothing to do with your comment!!!! Being a Priest does not stop one from doing what she/he is believing and practicing what is in his inner part of the heart!!!!! Nakubalia nawe kuwa CDM ni Chama kubwa japo umekubali kimtindo mtindo Mgoshi
Ndugu let me enlight you, In your posting what you r recommending is the DOOMS DAY, Very unfortunately although i am not affiliated to any Party, whether u believe me or not, Dr.Slaa is never the right choice, nor will he ever be, God forbid that this man ever has any chance to lead this blessed country. He is part of the MOTHER OF ALL EVIL, In Chadema there are many potential leaders 100 times better than, the CHEATING PRIEST who betrayed god just for LUST, What will he do when he has a whole nation at his disposal. While Chadema has people like MBOWE, ZITTO, HALIMA nk, why this guy who still thinks he is at the pulpit he dicrerated. Please stop this foolishness
 
Lisipooneshwa mchawi anajulikana

wataweza kupambana majukwaani kama katibu wa chama kongwe anapuuzwa na wananchi
 
Thd end of 'ccm'is near now!stay tuned!
 
Ccm wanajichafua kwa mpango huu!
 
Ni Mkakati wa makusudi kabisa, imeandaliwa na kuratibiwa na Chama kikongwe kwa madhumuni ya kutafuta sababu za kuwahadaa wananchi wakubaliane na mpango wa kusitisha kurusha matangazo ya bunge LIVE (moja kwa moja).

Plan ilikuwa kuiuzia CHADEMA udini ambao wao ni waasisi na vinara.
Kuwa chama cha upinzani ni lazima uwe na intelijensia ya hali ya juu.

MaCCM yalijipanga leo ni siku ya kukitupia CHADEMA zigo la udini.
CHADEMA wakawagundua mapema, ndo maana Lema akaingia front akagonga ikulu kwanza kabla ya yote.
Mwigulu alipangwa amalizie utumbo wake kwa kuleta zile habari zake za 'nina video na nina ushahidi'.
Toto Tundu alipojaribu kutibua kwa kuomba kutoa taarifa, Ndugai akapaniki akijua mpango unataka kuvurugwa, kwa jinsi alivyokuwa kilaza akafikiri personal attack itasaidia.
 
Back
Top Bottom