ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,997
- 2,242
Wakuu
Baada ya kila ninampata ni single maza basi nikaamua wikiend iliyoisha nitafute walau mtoto mbishi hapa mtaani ni mwanafunzi wa chuo.
Kama kawaida kaingia 18 zangu nikamuomba namba akakubali kunipa lakini baada ya muda badae kidogo nikaanza kumseduce.
Aiseeee, nilichokutana nacho sijapata ona wala kusikia, nikajiuliza au bado huyu binti ni mtoto?
Inasemekana ndio kamaliza chuo mwaka huu hivyo kwa hakika ni mtu mzima ile nimempa habari za kumtaka tu (mtongozo) alinifurumushia "matusi" sio ya nchi hii.
From nowhere natukwana, nikauliza sababu ni mtongozo tu huu au, bado natumiwa natusi hataree tena ya nguoni.
Hivi hii trick ni mpya, au niendelee na mteremko kwa single maza maana hawanaga izi isue.
Baada ya kila ninampata ni single maza basi nikaamua wikiend iliyoisha nitafute walau mtoto mbishi hapa mtaani ni mwanafunzi wa chuo.
Kama kawaida kaingia 18 zangu nikamuomba namba akakubali kunipa lakini baada ya muda badae kidogo nikaanza kumseduce.
Aiseeee, nilichokutana nacho sijapata ona wala kusikia, nikajiuliza au bado huyu binti ni mtoto?
Inasemekana ndio kamaliza chuo mwaka huu hivyo kwa hakika ni mtu mzima ile nimempa habari za kumtaka tu (mtongozo) alinifurumushia "matusi" sio ya nchi hii.
From nowhere natukwana, nikauliza sababu ni mtongozo tu huu au, bado natumiwa natusi hataree tena ya nguoni.
Hivi hii trick ni mpya, au niendelee na mteremko kwa single maza maana hawanaga izi isue.
