Matusi kwa mtongozo wa siku moja tu

Matusi kwa mtongozo wa siku moja tu

ubuntuX

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
1,997
Reaction score
2,242
Wakuu

Baada ya kila ninampata ni single maza basi nikaamua wikiend iliyoisha nitafute walau mtoto mbishi hapa mtaani ni mwanafunzi wa chuo.

Kama kawaida kaingia 18 zangu nikamuomba namba akakubali kunipa lakini baada ya muda badae kidogo nikaanza kumseduce.

Aiseeee, nilichokutana nacho sijapata ona wala kusikia, nikajiuliza au bado huyu binti ni mtoto?

Inasemekana ndio kamaliza chuo mwaka huu hivyo kwa hakika ni mtu mzima ile nimempa habari za kumtaka tu (mtongozo) alinifurumushia "matusi" sio ya nchi hii.

From nowhere natukwana, nikauliza sababu ni mtongozo tu huu au, bado natumiwa natusi hataree tena ya nguoni.

Hivi hii trick ni mpya, au niendelee na mteremko kwa single maza maana hawanaga izi isue.
 
Wakuu

Baada ya kila ninampata ni single maza basi nikaamua wikiend iliyoisha nitafute walau mtoto mbishi hapa mtaani ni mwanafunzi wa chuo

Kama kawaida kaingia 18 zangu nikamuomba namba akakubali kunipa lakini baada ya muda badae kidogo nikaanza kumseduce
Aiseeee, nilichokutana nacho sijapata ona wala kusikia, nikajiuliza au bado huyu binti ni mtoto?
Aawap inasemekana ndio kamaliza chuo mwaka huu hivyo kwahakika ni mtu mzima
Ile nimempa habari za kumtaka tu (mtongozo) alinifurumushia "matusi" sio ya nchi hii

From nowhere natukwana, nikauliza sababu ni mtongozo tu huu au, bado natumiwa natusi hataree tena ya nguoni!

Hivi hii trick ni mpya, au niendelee na mteremko kwa single maza maana hawanaga izi isue
Endelea na mimama mkuu hawa pasua kichwa ovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japokuwa mm ni me lakini naweza kukuongezea mengine zaidi. haiwezekani siku hiyo hiyo unachukua namba na kuanza kutongoza. Men tujaribu kuwa wastaarabu kidogo sometimes!
Lakini lengo la kuomba namba lilikuwa kutongoza....kama kutamani si ndo alishatamani ndo akafikia maamuzi hayo?

Dotcom hawatongozani, wanazoeana!
 
Lakini lengo la kuomba namba lilikuwa kutongoza....kama kutamani si ndo alishatamani ndo akafikia maamuzi hayo?

Dotcom hawatongozani, wanazoeana!
Kutongoza huwa hatukurupuki kiasi hicho. Sasa pamoja na lengo lake kuu kaambulia matusi. Inabidi mfahamiane kwanza na ile mipaka katika siku ya kwanza lazima iheshimike.

Jiulize anafuatwa na wangapi na ni kipi kitakufanya ukubaliwe wewe na si hao wengine. Take your time!
 
Mkuu siku moja tu na kutongoza? Ungevuta hata wiki kidogo ili muwe na mazoea walau kidogo, au ungekaa hata siku mbili mkuu, halafu nadhani we ni domo zege, wanawake hupenda kutongozwa live maana husoma vitu Fulani kutoka kwa mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa ana A-Z kuhusu wewe hapo mtaani..kuna uwezekano mkubwa kuna negative story alisikia kuhusu wewe hapo mtaani
 
Bora mwanamke anijibu kistaarabu, ila akinitukana nitadeal nae sambamba mpaka nimgegede nisuuze roho yangu..
 
Back
Top Bottom