Matusi kwa mtongozo wa siku moja tu

Matusi kwa mtongozo wa siku moja tu

Wakuu

Baada ya kila ninampata ni single maza basi nikaamua wikiend iliyoisha nitafute walau mtoto mbishi hapa mtaani ni mwanafunzi wa chuo.

Kama kawaida kaingia 18 zangu nikamuomba namba akakubali kunipa lakini baada ya muda badae kidogo nikaanza kumseduce.

Aiseeee, nilichokutana nacho sijapata ona wala kusikia, nikajiuliza au bado huyu binti ni mtoto?

Inasemekana ndio kamaliza chuo mwaka huu hivyo kwa hakika ni mtu mzima ile nimempa habari za kumtaka tu (mtongozo) alinifurumushia "matusi" sio ya nchi hii.

From nowhere natukwana, nikauliza sababu ni mtongozo tu huu au, bado natumiwa natusi hataree tena ya nguoni.

Hivi hii trick ni mpya, au niendelee na mteremko kwa single maza maana hawanaga izi isue.
 
Inawezekana ulikurupuka, lakini hiyo inategemea na body language yake wakati mnapeana namba za simu
Pia huenda matusi ni defensive mechanism yaani ni dhaifu saana anaogopa akikuachia nafasi kdogo tu utamchota kwa muda mfupi na ki urahisi zaidi hivyo anaweka kinga na kukutisha ili apate muda wa kuonyesha thamani yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio yale mtu anakutembelea unamuandalia mgeni juice na chakula mboga 3 anakula akishiba, wakati anakunywa juice anakutongoza jamani MBITIYAZA rubii Neybright
Sasa Madam kama umenikaribisha kwako na pishi lote hilo ukaniandalia na sharubati baridi juu jumlisha na jinsia zetu, tuko wawili tu mazingira yenyewe tulivu unategemea baada ya kushiba tuanze kuimba mapambio? Tongozo halina sehemu maalumu ujue
 
Sasa Madam kama umenikaribisha kwako na pishi lote hilo ukaniandalia na sharubati baridi juu jumlisha na jinsia zetu, tuko wawili tu mazingira yenyewe tulivu unategemea baada ya kushiba tuanze kuimba mapambio? Tongozo halina sehemu maalumu ujue

Yaani hupendi kugharamia chochote, ili nikikubali unaingia ndani kulala sio?
@seduce me@
 
Wakuu

Baada ya kila ninampata ni single maza basi nikaamua wikiend iliyoisha nitafute walau mtoto mbishi hapa mtaani ni mwanafunzi wa chuo.

Kama kawaida kaingia 18 zangu nikamuomba namba akakubali kunipa lakini baada ya muda badae kidogo nikaanza kumseduce.

Aiseeee, nilichokutana nacho sijapata ona wala kusikia, nikajiuliza au bado huyu binti ni mtoto?

Inasemekana ndio kamaliza chuo mwaka huu hivyo kwa hakika ni mtu mzima ile nimempa habari za kumtaka tu (mtongozo) alinifurumushia "matusi" sio ya nchi hii.

From nowhere natukwana, nikauliza sababu ni mtongozo tu huu au, bado natumiwa natusi hataree tena ya nguoni.

Hivi hii trick ni mpya, au niendelee na mteremko kwa single maza maana hawanaga izi isue.



Huyu alipatwa na simanzi la kuaachwa na mwanafunzi mwenzake.....mkazie buti tu, siku akikupa mkomoe na futa namba yake ya simu baada ya gemu.
 
Yaani hupendi kugharamia chochote, ili nikikubali unaingia ndani kulala sio?
@seduce me@
Hapana hatutalala ni kitendo cha masaa machache tu then naomba nauli ya tax narudi kwangu na wewe ukija kwangu tegemea ukaribisho zaidi ya huo. Raha ya mapenzi mseduziane@
 
Back
Top Bottom