Najiuliza sana kuhusu matusi na kejeli vinavyoelekezwa kwa Lowassa toka CCM.
Hivi kosa la Lowassa ni nini?,
- Kaomba ridhaa ya kugombea na akateuliwa kwa kukidhi vigezo na matakwa ya kisheria,
- Kapitishwa kugombea wananchi kwa mamilioni, Wanawake kwa Waume, Vijana kwa Wazee wamemkubali kwa roho zao na wanamuunga mkono na hakika Edward Lowassa ndiye atakayekuwa Raisi kwa mujibu wa sheria na demokrasia.
Sasa matusi ambayo CCM wanamtukana yanatoka wapi?.
Nadhani anayepaswa kutukana hapa na SHERIA iliyompitisha Lowassa kwa kukidhi vigezo vyake, na WANANCHI waliomuamini na kumtumaini kuwa hakuna mwingine zaidi ya Lowassa.
CCM acheni dhambi mtaliangamiza taifa.
Hivi kosa la Lowassa ni nini?,
- Kaomba ridhaa ya kugombea na akateuliwa kwa kukidhi vigezo na matakwa ya kisheria,
- Kapitishwa kugombea wananchi kwa mamilioni, Wanawake kwa Waume, Vijana kwa Wazee wamemkubali kwa roho zao na wanamuunga mkono na hakika Edward Lowassa ndiye atakayekuwa Raisi kwa mujibu wa sheria na demokrasia.
Sasa matusi ambayo CCM wanamtukana yanatoka wapi?.
Nadhani anayepaswa kutukana hapa na SHERIA iliyompitisha Lowassa kwa kukidhi vigezo vyake, na WANANCHI waliomuamini na kumtumaini kuwa hakuna mwingine zaidi ya Lowassa.
CCM acheni dhambi mtaliangamiza taifa.