Lait noir
Member
- Aug 23, 2012
- 96
- 49
Nawasalimu Wapendwa wanajamii,
Mimi ni mkaka/Mbaba wa miaka 38 na ushehe, mrefu kiasi na maji ya kunde. Nina maisha yangu na si tegemezi.
Ninahitaji mama/dada aliepevuka kwa akili anaejua maisha maana yake nini na 'Muogopa Mungu', Kabila na ukoo sio ishu sana kwa sasa. Elimu ninajua itakuwa 'inatosha tu' kwa wengi wanaopita JF.
Kwa aliye na mtoto itapendeza zaidi
Mimi ni mkaka/Mbaba wa miaka 38 na ushehe, mrefu kiasi na maji ya kunde. Nina maisha yangu na si tegemezi.
Ninahitaji mama/dada aliepevuka kwa akili anaejua maisha maana yake nini na 'Muogopa Mungu', Kabila na ukoo sio ishu sana kwa sasa. Elimu ninajua itakuwa 'inatosha tu' kwa wengi wanaopita JF.
Kwa aliye na mtoto itapendeza zaidi