Lait noir
Member
- Aug 23, 2012
- 96
- 49
- Thread starter
- #21
hawa wanajitambua tayari,yanini kujipa headache na binti ambaye bado anataka kwenda fiesta,then mara nying wanaume wa hiyo age wanakuwa tayari anawatoto so kidog it does balance kwani inamsaidia kuwa assured kuhusu malezi ya wanae kwani na hyo mwanamke nae ana watoto/mtoto.kwa ujumla at that age mtu antaka kutulia jamani sio tena maswala ya kupiga simu kwa mama kuwa mume /mke hajarudi wakati ndo kwanza saa nne usiku!
Asante sana kunisaidia kufikisha ujumbe uliotarajiwa