Dawa ya nini?Hii ni dawa ya kubwa sana
Kama yapi ndugu mshana jrMagonjwa mengi
Asante sanaYa ngozi, tumbo na homa homa
hukumaanisha hivyo.... malizia tu "MIMBA"Baridi
Nimemiss hili tunda asee
Hii ni mistafeli na mishesheri
Hayo majani ni mastafeli kabila gani?Hii ni mistafeli na mishesheri
Matomoko. Dah, ilibaki kidogo tu wanilaani kwasababu ya haya matunda, enzi zangu nikiwa shule ya msingi. Yaani kijiji kizima, yote yalikuwa ni yangu! Wala sikutaka kujua nani ameyapanda wala yamo kwenye shamba la nani.