Matumla na kaptula la Hasheem Thabit

Matumla na kaptula la Hasheem Thabit

Prof Griff

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2008
Posts
6,762
Reaction score
5,276
Mkenya kavaa boxing shorts, yeye yumo kwenye suruali. Kaazi kweli.

P4261500.JPG
 
hahahahaaaaa kazi kweli kweli. mganga alimwambia nini?
 
yaani nimeangalia hii heading na hiyo avator yako imebidi nicheke tu
 
yaani mie usingizi woote umeisha kwa vicheko.uwiii,hana hata manager?
<p>
Ra<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/happy.gif" border="0" alt="" title="Happy" smilieid="196" class="inlineimg" />ha kweli, wacha nikalale.
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Ah! hahahaha aisee hiyo kitu self-container ina kila kitu ndani.
 
Maisha magumu jamani, hata fedha zakununulia kaptula nzuri hakuna? We acha tu!
 
Nashukuru sana! Maana nina malaria sijacheka tangu asubuhi mpaka nilipoiona hii picha na avator ya mletaji! Lol!
 
Nani alibondwa kwani? hilo ndo la muhimu...
 
Back
Top Bottom