busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,332
Serikali kupitia Wizara ya Afya ya Jamii imekuwa na mkakati wa kupambana na Malaria kwa wananchi wote mijini na vijijini hasa WATOTO na MAMA WAJAWAZITO.
VYANDARUA vingi VYENYE DAWA vimesambazwa bure katika jitihada hizo za kupunguza kama si kuondoa kabisa VIFO vitokanavyo na MALARIA.
Yafuatayo hapa chini ndo MATUMIZI ya VYANDARUA hivyo VILIVYOTIWA DAWA.:.
1)Kujikinga/kujizuia na mbu waenezao Malaria.
2)Kuwazuia/kuwakinga kuku, bata, kanga nk wasiliwe na mwewe/kunguru.
3)Kutumika kama uzio katika bustani ya mboga.
4)Kutumika kama "nets" za kuvulia samaki.
TOA MAONI YAKO
VYANDARUA vingi VYENYE DAWA vimesambazwa bure katika jitihada hizo za kupunguza kama si kuondoa kabisa VIFO vitokanavyo na MALARIA.
Yafuatayo hapa chini ndo MATUMIZI ya VYANDARUA hivyo VILIVYOTIWA DAWA.:.
1)Kujikinga/kujizuia na mbu waenezao Malaria.
2)Kuwazuia/kuwakinga kuku, bata, kanga nk wasiliwe na mwewe/kunguru.
3)Kutumika kama uzio katika bustani ya mboga.
4)Kutumika kama "nets" za kuvulia samaki.
TOA MAONI YAKO