SureHakuna connection yoyote kati ya vifaa kama simu,wireless earphones,Laptop n.k na radi. Wala radi haiwezi kumuathiri mtumiaji wa vifaa hivyo (unconnected devices) .Hii ndiyo madhara ya askari wetu kuishia darasa la saba na kukosa elimu juu ya mambo madogo kama haya
Nimegugu kama RC wangu nikapata hii...jielemisheMkuu wa polisi hapa Arusha katutahadhalisha matumizi ya simu wakati wa mvua yanaweza kusababisha RADI.
Hii kweli inawezekana jamani?
Wenye kujua hili naomba ufafanuzi
Mkuu, umeanza vizuri sana, ila umemalizia vibaya sana!Hakuna connection yoyote kati ya vifaa kama simu,wireless earphones,Laptop n.k na radi. Wala radi haiwezi kumuathiri mtumiaji wa vifaa hivyo (unconnected devices) .Hii ndiyo madhara ya askari wetu kuishia darasa la saba na kukosa elimu juu ya mambo madogo kama haya
umemaliza kila kitu,ambaye hata elewa hapa basi hatokaa aelewe maisha yake yoteIko hivi; radi hupiga sehem yenye mlolongo wa kwenda ardhini ambao umejitokeza juu!
Kutumia simu wakati wa mvua iliyoambatana na radi hakuwezi kusababisha mtumiaji kudhulika na radi;
Kwanini?
Kwa sababu simu hutumia masafa ya wireless ( unconnected) ambayo ni electromagnetic waves kutoka kwenye antenna au minara ya simu. Mawimbi haya hayawezi kuwa conductor au kipitishi cha umeme wa radi.
Mtumiaji wa simu anaweza tu kudhurika kwa radi endapo;
1.atakuwa ameunganisha simu yake kwenye extension cable ( kebo) anapochaji simu. Ikiwa radi itaingilia mfumo wa wiring za nyumbani basi simu itapokea umeme mwingi kupita kiasi na kupelekea madhara kwa mtumiaji.
2. Pia cha kuzingatia sana, zima TV ikiwa unatumia antenna, TV cable, au dish maana umeme wa radi unaweza kupitia dishi hadi ndani haraka sana na kuleta madhara.
Acha ujinga. Mawimbi ya simu yanaingiliana na ya simu esp ikiwahHakuna connection yoyote kati ya vifaa kama simu,wireless earphones,Laptop n.k na radi. Wala radi haiwezi kumuathiri mtumiaji wa vifaa hivyo (unconnected devices) .Hii ndiyo madhara ya askari wetu kuishia darasa la saba na kukosa elimu juu ya mambo madogo kama haya
Hapo 2 sio kuzima tu. Disconnect kabisaIko hivi; radi hupiga sehem yenye mlolongo wa kwenda ardhini ambao umejitokeza juu!
Kutumia simu wakati wa mvua iliyoambatana na radi hakuwezi kusababisha mtumiaji kudhulika na radi;
Kwanini?
Kwa sababu simu hutumia masafa ya wireless ( unconnected) ambayo ni electromagnetic waves kutoka kwenye antenna au minara ya simu. Mawimbi haya hayawezi kuwa conductor au kipitishi cha umeme wa radi.
Mtumiaji wa simu anaweza tu kudhurika kwa radi endapo;
1.atakuwa ameunganisha simu yake kwenye extension cable ( kebo) anapochaji simu. Ikiwa radi itaingilia mfumo wa wiring za nyumbani basi simu itapokea umeme mwingi kupita kiasi na kupelekea madhara kwa mtumiaji.
2. Pia cha kuzingatia sana, zima TV ikiwa unatumia antenna, TV cable, au dish maana umeme wa radi unaweza kupitia dishi hadi ndani haraka sana na kuleta madhara.
Shida SanaNdivyo tulivyokariri
shule kumkichwa haipo kakaaskari wa Tz ni vilaza, ona sasa komrediz wamepaniki , siredi ya tatu hii tangu ile barua ya ovyo ya yule kilaza itoke
hakuna konekshen yoyote kati ya radi na simu
Kuna mwalimu wangu wa Arusha Technic College,aliwahi kutuambia hv kuwa mtu hawez dhurika akiwa anatumia vifaa vya umemeHakuna connection yoyote kati ya vifaa kama simu,wireless earphones,Laptop n.k na radi. Wala radi haiwezi kumuathiri mtumiaji wa vifaa hivyo (unconnected devices) .Hii ndiyo madhara ya askari wetu kuishia darasa la saba na kukosa elimu juu ya mambo madogo kama haya