Matumizi ya mkaa na kuni yanaua Watanzania wengi kuliko UKIMWI

Matumizi ya mkaa na kuni yanaua Watanzania wengi kuliko UKIMWI

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,513
Reaction score
2,196
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,

UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA WENGINE WAKIITWA WACHAWI.

==
Rais Samia kwa kutambua kwamba vifo vitokanavyo na nishati hafifu ya mkaa na kuni kwa mwaka ni zaidi ya 33,000, au zaidi ya vifo vitokanavyo na UKIMWI nchini, Rais Samia agawa bure mitungi zaidi 452,445 ya gas kwa zaidi ya kaya 205,000 nchini kufikia 2024 ili kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi nchini.


WATANZANIA OKTOBA TUNATIKI ✅

IMG-20250711-WA0060(1).jpg
 
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,

UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA WENGINE WAKIITWA WACHAWI.

==
Rais Samia kwa kutambua kwamba vifo vitokanavyo nishati hafifu ya mkaa na kuni kwa mwaka ni zaidi ya 33,000, au zaidi ya vifo vitokanavyo na UKIMWI nchini, Rais Samia agawa bure mitungi zaidi 452,445 ya gas kwa zaidi ya kaya 205,000 nchini kufikia 2024 ili kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi nchini.


WATANZANIA OKTOBA TUNATIKI ✅

View attachment 3402653
Kama ana huruma na akina mama, basi apunguze Bei ya gas. Mitungi wanayo wengi na ipo nyumbani wanashindwa kujaza gas.
 
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,

UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA WENGINE WAKIITWA WACHAWI.

==
Rais Samia kwa kutambua kwamba vifo vitokanavyo nishati hafifu ya mkaa na kuni kwa mwaka ni zaidi ya 33,000, au zaidi ya vifo vitokanavyo na UKIMWI nchini, Rais Samia agawa bure mitungi zaidi 452,445 ya gas kwa zaidi ya kaya 205,000 nchini kufikia 2024 ili kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi nchini.


WATANZANIA OKTOBA TUNATIKI ✅

View attachment 3402653
Sio kweli Kuni na mkaa ni kitu halisi Gesi Ina kansa wanaotumia Gesi ndio wanaongoza kufa kwa 1. Presha 2.Gesi 3. Kansa
 
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,

UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA WENGINE WAKIITWA WACHAWI.

==
Rais Samia kwa kutambua kwamba vifo vitokanavyo nishati hafifu ya mkaa na kuni kwa mwaka ni zaidi ya 33,000, au zaidi ya vifo vitokanavyo na UKIMWI nchini, Rais Samia agawa bure mitungi zaidi 452,445 ya gas kwa zaidi ya kaya 205,000 nchini kufikia 2024 ili kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi nchini.


WATANZANIA OKTOBA TUNATIKI ✅

View attachment 3402653
Tatizi la ''ngozi nyeusi'' ni kufanya siasa za kijinga kwenye kila jambo. Ndiyo maana nchi zote zenye watu weusi hazina maendeleo. Una akili fupi kama Samia.
 
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,

UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA WENGINE WAKIITWA WACHAWI.

==
Rais Samia kwa kutambua kwamba vifo vitokanavyo nishati hafifu ya mkaa na kuni kwa mwaka ni zaidi ya 33,000, au zaidi ya vifo vitokanavyo na UKIMWI nchini, Rais Samia agawa bure mitungi zaidi 452,445 ya gas kwa zaidi ya kaya 205,000 nchini kufikia 2024 ili kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi nchini.


WATANZANIA OKTOBA TUNATIKI ✅

View attachment 3402653
Kama anahuruma basi ashushe bei ya umeme watu tupikie umeme ila kwenye hayo magesi hakuna kitu zaidi ya kumlipa fadhila Rostam Aziz
 
Kama mnataka watu watumie gesi, basi bei ya gesi iwe rahisi kuliko bei ya mkaa na Kuni, watu wanapata Hadi mkaa wa buku na wanatumia siku mbili AU kinyume na hapo kuzeni Pato la mtz kama mna huo ubavu na hizo akili. Mkaa na Kuni vitaendelea kutumika hapa Tanzania Kwa karne.
 
Kama mnataka watu watumie gesi, basi bei ya gesi iwe rahisi kuliko bei ya mkaa na Kuni, watu wanapata Hadi mkaa wa buku na wanatumia siku mbili AU kinyume na hapo kuzeni Pato la mtz kama mna huo ubavu na hizo akili. Mkaa na Kuni vitaendelea kutumika hapa Tanzania Kwa karne.
Ndivyo ilivyo sasa mkuu
 
Back
Top Bottom