matumizi ya mastaa wa kike bongo!!!!!

faithful

JF-Expert Member
Aug 10, 2010
378
33
wadau mambo vipi?
nimesoma gazeti moja pendwa linalotoka alhamisi nikapata hii stori ngoja niwape kwa ufupi
eti mastaa wa kike bongo wanadaiwa kuwa na matumizi makubwa ya pesa kwa siku ili kulinda umaarufu wao....................hii ni pamoja na kuepuka kupanda daladala,hivyo kutumia gari za kukodi,tax au usafiri wake mwenyewe ambao pia kuna gharama kubwa ya mafuta.gharama za simu na pia gharama za saloon na chakula ambazo pia inabidi achague eneo babkubwa kupata huduma ili kutunza heshima.pia imeongelewa kujirusha viwanja vikali.......
waliotoa matumizi yao kwa siku moja ni kama ifuatavyo:
dotnata........laki tatu kwa siku
aunt ezekiel...laki moja
ray c...........laki na ishirini
irene uwoya....mil moja
jackline wolper...laki tatu
rose ndauka..laki tano

binafsi najiuliza je filamu za bongo zinalipa kiasi hiki kwa sasa?!!!!!!!
 
wadau mambo vipi?
nimesoma gazeti moja pendwa linalotoka alhamisi nikapata hii stori ngoja niwape kwa ufupi
eti mastaa wa kike bongo wanadaiwa kuwa na matumizi makubwa ya pesa kwa siku ili kulinda umaarufu wao....................hii ni pamoja na kuepuka kupanda daladala,hivyo kutumia gari za kukodi,tax au usafiri wake mwenyewe ambao pia kuna gharama kubwa ya mafuta.gharama za simu na pia gharama za saloon na chakula ambazo pia inabidi achague eneo babkubwa kupata huduma ili kutunza heshima.pia imeongelewa kujirusha viwanja vikali.......
waliotoa matumizi yao kwa siku moja ni kama ifuatavyo:
dotnata........laki tatu kwa siku
aunt ezekiel...laki moja
ray c...........laki na ishirini
irene uwoya....mil moja
jackline wolper...laki tatu
rose ndauka..laki tano

binafsi najiuliza je filamu za bongo zinalipa kiasi hiki kwa sasa?!!!!!!!

duh kazi ipo....na huwa wanaziingiza kama wanavyozitumia?
 
si juzi tu hapa walidai mwenye kulipwa sana ktk uigiza anapata sijui milioni 2,sas mtu anapata m2,au laki saba au m1 baada ya miezi mitatu ndo anaigiza tena atapata wapi hizo pesa zote za kutumia kwa fujo hivyo.
sikubaliani nao,sio kweli hawana uwezo huo.
kujikweza kusiko na maana.
dotinata naweza kuamini kuwa ana uwezo huo coz ni mfanyabiashara na haishi kwa filamu.
 
irene uwoya alidai analipwa m2 kuigiza filamu nzima kila anapokuja nchini kuigiza,na akija anaweza kukaa hata mwezi,ina maana kila akija anatumia si chini ya m25 lkn analipwa m2,si uongo huo!
 
labda wana hudumiwa na mapedejee!kaka zetu wa jamii forum watusaidie kama huwa nao wakipenda wanahonga hivyo............
ninavyoona mimi wanaume wa aina hiyo ni wale wa kupita.
 
kwakweli huu ni upuuzi uliopitiliza huwa wanaingiza kipato cha shilingi ngapi kwa siku kwa nchi kama zetu sidhani kama hao watajwa wako kwenye level hiyo labda watuambie wana dili za maisha mbadala na kazi zao so sad sijui kwanini hatutaki kuinvest akili na nguvu zetu kwenye mambo ya maana
 
wadau mambo vipi?
nimesoma gazeti moja pendwa linalotoka alhamisi nikapata hii stori ngoja niwape kwa ufupi
eti mastaa wa kike bongo wanadaiwa kuwa na matumizi makubwa ya pesa kwa siku ili kulinda umaarufu wao....................hii ni pamoja na kuepuka kupanda daladala,hivyo kutumia gari za kukodi,tax au usafiri wake mwenyewe ambao pia kuna gharama kubwa ya mafuta.gharama za simu na pia gharama za saloon na chakula ambazo pia inabidi achague eneo babkubwa kupata huduma ili kutunza heshima.pia imeongelewa kujirusha viwanja vikali.......
waliotoa matumizi yao kwa siku moja ni kama ifuatavyo:

dotnata........laki tatu kwa siku
aunt ezekiel...laki moja
ray c...........laki na ishirini
irene uwoya....mil moja
jackline wolper...laki tatu
rose ndauka..laki tano

binafsi najiuliza je filamu za bongo zinalipa kiasi hiki kwa sasa?!!!!!!! HILI NDOJIBU Mkuu hakuna hiyo kitu hata wlipo toa ile juzi kati kua wanalilipwa m2 wengine m1 m3 L9 UNGO mtupu huyo m3 au m2 ndo anapewa m1
 
irene uwoya alidai analipwa m2 kuigiza filamu nzima kila anapokuja nchini kuigiza,na akija anaweza kukaa hata mwezi,ina maana kila akija anatumia si chini ya m25 lkn analipwa m2,si uongo huo!

Hawasemi kweli DADA yangu magumashi matupu ukiwakuta kwenye shuting ndo utaujua ukweli wanashinda njaa hawaishi kulalamika juzi juzi nilkuwa Dar Hoteli flani kulikuwa na wauzasura wapo kambini chumba chao na changu vilikuwa mkabala wanateseka sana yani sijui hawana chombo kinacho watetea wasanii jama nchihii balaa tupu hawana pakukimbilia hivi jaribu kuchunguza nguo wanazo vaa kwenye filam mwanzo mpakamwisho wa filam kabadili marangapi ndoupime
 
Hawasemi kweli DADA yangu magumashi matupu ukiwakuta kwenye shuting ndo utaujua ukweli wanashinda njaa hawaishi kulalamika juzi juzi nilkuwa Dar Hoteli flani kulikuwa na wauzasura wapo kambini chumba chao na changu vilikuwa mkabala wanateseka sana yani sijui hawana chombo kinacho watetea wasanii jama nchihii balaa tupu hawana pakukimbilia hivi jaribu kuchunguza nguo wanazo vaa kwenye filam mwanzo mpakamwisho wa filam kabadili marangapi ndoupime

wanatia huruma lkn wanashindwa hata kutetewa sbb hawasemi ukweli badala yake wanaficha mateso yao kwa kujipa misifa ya uongo,
kuna siku nilikua ubongo plaza bank akaingia yule sijui ndo jackline wolper kwa mbwembe zote uzijuazo akawa anagomba kuwa alitaka kuchukua hela lkn atm mbovu imeshindwa kumpa pesa,basi yule teller akammwambia ac yake haina hela na sio tatizo la mashine zao.
 
Mafinyufinyu na longolongo tupu, pesa matumizi si tungeona au wanatumia shimoni!!!!
 
fix, fix, fix, fix, uongo, uongo, uongo, uongo, kwa jinsi walivyodanya ni dhahili kabisa
wanafuata ilani ya ccm na utekelezaji wake
 
wanatia huruma lkn wanashindwa hata kutetewa sbb hawasemi ukweli badala yake wanaficha mateso yao kwa kujipa misifa ya uongo,
kuna siku nilikua ubongo plaza bank akaingia yule sijui ndo jackline wolper kwa mbwembe zote uzijuazo akawa anagomba kuwa alitaka kuchukua hela lkn atm mbovu imeshindwa kumpa pesa,basi yule teller akammwambia ac yake haina hela na sio tatizo la mashine zao.

Hahha haha sipati picha alijisikiaje duh!!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
kwa mtu kama Dotinata yeye si muigizaji tu bali ni mjasiriamali wa siku nyingi saana (mpishi na mpambaji wa maharusi nk), na anajituma,siwezi kushangaa sana matumizi yake, ila kama unategemea uigizaji Tanzania huwezi kuwa najeuri ya kutumia Milion moja au laki tano kwa siku, kwa Avatar ipi uliyoitoa hadi ikuingizie mihela yote hiyo?:biggrin1: hawana lolote choka mbaya tu hao
 
wadau mambo vipi?
nimesoma gazeti moja pendwa linalotoka alhamisi nikapata hii stori ngoja niwape kwa ufupi
eti mastaa wa kike bongo wanadaiwa kuwa na matumizi makubwa ya pesa kwa siku ili kulinda umaarufu wao....................hii ni pamoja na kuepuka kupanda daladala,hivyo kutumia gari za kukodi,tax au usafiri wake mwenyewe ambao pia kuna gharama kubwa ya mafuta.gharama za simu na pia gharama za saloon na chakula ambazo pia inabidi achague eneo babkubwa kupata huduma ili kutunza heshima.pia imeongelewa kujirusha viwanja vikali.......
waliotoa matumizi yao kwa siku moja ni kama ifuatavyo:
dotnata........laki tatu kwa siku
aunt ezekiel...laki moja
ray c...........laki na ishirini
irene uwoya....mil moja
jackline wolper...laki tatu
rose ndauka..laki tano

binafsi najiuliza je filamu za bongo zinalipa kiasi hiki kwa sasa?!!!!!!!


mambo mengine bana.mnataka tutukane tupewe BAN tu hapa
 
Ray C si alishindwa kulipa kodi ya nyumba wakati fulani (mwaka huu) tena alikuwa anadaiwa kati ya laki 4 na 7 hivi, sikumbuki vizuri, deni la muda mrefu !
 
kuna yule dida naye alifilisiwa na benk kwa kushindwa kulipa m1 na laki 7..............!
sasa hawa wanatuambia uongo gani huu wa kitoto.......................!
choka mbaya tu hawa hamna kitu................!
 
kuna yule dida naye alifilisiwa na benk kwa kushindwa kulipa m1 na laki 7..............!
sasa hawa wanatuambia uongo gani huu wa kitoto.......................!
choka mbaya tu hawa hamna kitu................!


Wanataka waonekane matawi.....kumbe choooka
Duh mtu anatumia 25M kwa mwezi hukua anaingiza 3M kwa miezi 6/3????
 
Back
Top Bottom