faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 33
wadau mambo vipi?
nimesoma gazeti moja pendwa linalotoka alhamisi nikapata hii stori ngoja niwape kwa ufupi
eti mastaa wa kike bongo wanadaiwa kuwa na matumizi makubwa ya pesa kwa siku ili kulinda umaarufu wao....................hii ni pamoja na kuepuka kupanda daladala,hivyo kutumia gari za kukodi,tax au usafiri wake mwenyewe ambao pia kuna gharama kubwa ya mafuta.gharama za simu na pia gharama za saloon na chakula ambazo pia inabidi achague eneo babkubwa kupata huduma ili kutunza heshima.pia imeongelewa kujirusha viwanja vikali.......
waliotoa matumizi yao kwa siku moja ni kama ifuatavyo:
dotnata........laki tatu kwa siku
aunt ezekiel...laki moja
ray c...........laki na ishirini
irene uwoya....mil moja
jackline wolper...laki tatu
rose ndauka..laki tano
binafsi najiuliza je filamu za bongo zinalipa kiasi hiki kwa sasa?!!!!!!!
nimesoma gazeti moja pendwa linalotoka alhamisi nikapata hii stori ngoja niwape kwa ufupi
eti mastaa wa kike bongo wanadaiwa kuwa na matumizi makubwa ya pesa kwa siku ili kulinda umaarufu wao....................hii ni pamoja na kuepuka kupanda daladala,hivyo kutumia gari za kukodi,tax au usafiri wake mwenyewe ambao pia kuna gharama kubwa ya mafuta.gharama za simu na pia gharama za saloon na chakula ambazo pia inabidi achague eneo babkubwa kupata huduma ili kutunza heshima.pia imeongelewa kujirusha viwanja vikali.......
waliotoa matumizi yao kwa siku moja ni kama ifuatavyo:
dotnata........laki tatu kwa siku
aunt ezekiel...laki moja
ray c...........laki na ishirini
irene uwoya....mil moja
jackline wolper...laki tatu
rose ndauka..laki tano
binafsi najiuliza je filamu za bongo zinalipa kiasi hiki kwa sasa?!!!!!!!