Matumizi sahihi ya Dabo indiketa, gia L,2,3 na O/D katika gari za Automatic

Dabo indiketa inashauriwa itumike wakati una dharula kubwa mf: Ajari au gari Mbovu maana lengo lake ni kuwataarifu madereva wenzako kuwa gari yako inatatizo so wapite kwa uangalifu zaidi lakin utakuta wengi wetu tunatumia visivyo mf; katika kupita njia panda au ukipaki pembezoni mwa barabara. Pia niongezee kuna ambao aki over take gari anawasha indiketa ya kulia (hiyo sawa kabisa ila sasa unapotaka kurudi upande wako wa kushoto hunahaja yak u indiketa tena unless kama kuna gari nyuma yako na iko jirani sana sio
Hata uko pekee yako unawasha indiketa tu.

Katika gari za Automatic kuna gia za L, 2, 3 na O/D.
Kwanza ujue kabisa katika hali ya kawaida gari yako inapaswa kuwa katika D kwa maana ya Drive na hii inategemeana na mazingira ya barabara na hali yali ya hewa kama ni nzuri ila 2, 3 hutumika tu pale unapokuwa either unashuka au unapanda mlima/mteremuko mkali sana na mrefu mf’ sekenke na unataka ushuke au upande kwa speed ile ile ila isizidi 40/60 basi ndo unaruhusiwa kutumia 2, 3. Namba 2, 3 na L inamaana kuwa ina inalock gear box ili gear zisibadilike (-/+) kama ambavyo zinabadika ukiweka D na itambulike kuwa unaweza kubadili toka D kwenda 2 au 3 wakati wowote gari inapokuwa katika mwendo ila hakikisha usiwe speed zaidi ya 40/60 maana kinachofanyika ni kwamba D inasababisha sahani (disks) zilizomo ndani ya gearbox kufanya gazi nah ii upelekea ile hydrolic iliyomo kupata joto linalotoka katika zile sahani ambalo joto lile husababisha gear box kutokuwa na nguvu ile ile (constant velocity) na ndo maana ukiweka 2, 3 au L gear box inakuwa kwenye lock na sahani hazisuguani maana inakuwa inatumika sahani/disk moja tu kwa hiyo inasaidia ile hydrolick kupoa pia na ndo maana gari huongeza nguvu kwa ghafla. L inatumika pale unapokuwa either umekwama au unavuta gari jingine au tera ila inapaswa itumike kwa muda mfupi sana maana inanguvu sana na pia inaongeza ulajo wa mafuta, so kama ukiishatoka katika mkwamo na unaona bado barabara si nzuri labda utelezi au unavuta mzigo kwa mwendo mrefu basi unaweka 2 au 3 na wakati huohuo unaweza kuweka hata D kama hali ya njia na mzigo vinaruhusu na unaweza kuongeza walau speed 40/60 au zaidi kama utaweka D. kwa maana rahisi zaidi kwamba 2,3,na L inafanya kazi kama gari ya Manual nah ii inakuwa rahisi kwa yeyote ambaye anafahamu kuendesha manual.

Over Drive inatumika pale gari inapokuwa speed zaidi ya 60/80 kutegemeana na aina ya gari na hili hutokea bila wewe kujua maana gari yenyewe ndo inafanya nan do maana unashauriwa iwe on muda wote kusudi gari ichague ni wkati gani iweke on au of maana uukiwa chini ya 60/80 hata kama umeweka on bado inakuwa haifanyi kazi.
Cha mwisho ndugu zangu ni kwamba OD unaweza kuitumia kama break/stop engine hasa unapokuwa zaid ya 80 na wakati huo iko ON yaan katika dashboard taa ya OD izime ikiwaka maana yake iko OFF, basi ili upunguze mwenda kwa haraka unachofanya ni kuweka OFF na wakati huo unakanyaga break taratibu utaona mwenyewe gari lako linavyopunguza mwendo tartibu na wakati mwingine si lazima ukanyage break, we iweke OFF tu halafu toa mguu katika pedal ya mafuta gari lazima li slow down na kama lilikuwa ni tuta na umeliisha lipita basii iweke tena ON ongeza mafuta auu unaweza kuweka 2 au 3 ili gari ianze kwa kasi zaidi na ikiisha changanya basi rudi kwenye D na endelea kama kawaida.

Tahadhari: never ever kata kona wakati uko speed kubwa na gear namba tano (Kwa manual) au rpm iko 3000 Kwa automatic hii husababisha kupitiliza maana gari inakuwa nyepesi sana. Hakikisha ume slow down mpaka gia namba nne na break kidogo na Kwa autimatic either uweke 2 au 3 ila lazima weka OD off na break kidogo

Sijui kama ntakuwa nimeeleweka maana Kiswahili na lugha yetu ila mmh …!
nimetafuta ma -like sijaona wacha nikupe manual mkuu nimeilaiki mbaya gdnyt kama uko bongo morning na etc ka ushatutupia ganda chooni
 
Katika gari zingine kuna N/P ukipress P kwenye Dashbord inawaka POWER hii inasaidia nini na inatumikaje?

Salama Fred?
Kitufe cha Power kinatumika wakati unataka kumaintain speed over 140 sin chini ya hapo na pia maana yake ingine inakuwa katika full power na ulaji wa mafuta itakua inabugia sio kunywa so tumia hiyo button kama una haraka, huna tatizo na buget na pia hakikisha we ni dereva mzoefu barabarani na unauhakika na gari yako maana itakimbia speed to its maximum na siku zote mi huwa nashauri nenda mwendo unaoweza kuumudu na ukiwa over 140 usiongee na abiria wala kupokea simu yaana nashauri hata earphone usitumie maana hapo inatakiwa very high maximum concertration of your brain and skills pia mikono yote miwili iwe kwenye usukani na kabla ya safari umecheck mambo yote muhimu km matairi/umepima upepo na lazima Kiwango cha upepo kiwe sawa Kwa pande zote japo si lazima mbele iwe sawa na nyuma kutegemeana na aina ya gari lakini pia na aina ya mizigo au matumizi ndo maana sisi wakulima unajaza zaidi nyuma shauri a kubeba mikaa, kusomba Maji, kuni n.k na hakikiasha walau kila wiki unapima upepo tairi zote tano.



+255 715/764/784 800989
 
Asante kwa kuniulizia swali hilo. Ila mimi huwa sibonyezi hicho kitufe hivyo huwa hiyo taa haiwaki. Sijui kama huwa niko sahihi au la!


Uko sahihi mkuu, isipo waka maana yeke iko ON


alfredmkohiatgmaildotcom
 
Hakuna kitu kwenye gari kinaitwa 'dabo indiketa', nafikiri ulimaanisha HAZARD LIGHT, but YES, they are for emergency as the name describes. Waendesha magari wasio madereva huwasha kwenye njia panda wakidhani ni kiashiria cha kwenda moja kwa moja.


Mwana mtoka uu uzi ulikuwa katika Kiingereza na hata kwangu ilikuwa rahisi sana kuelezea ila kuna mdau ukiangalia ule wa kiingereza aliniomba niandike Kwa kiswahili ili uwe na manufaa Kwa sote na ndo maana hata ukiusoma bado utakuwa maneno mengi yamechakachuliwa hehehe

Kiswahili kigumu jamani, tukubali tu haza katika technologia




alfredmkohiatgmaildotcom
 
nimetafuta ma -like sijaona wacha nikupe manual mkuu nimeilaiki mbaya gdnyt kama uko bongo morning na etc ka ushatutupia ganda chooni

Hahaha nashukuru Basiasi Kwa Shukrani na kuonyesha ushirikiano, tupo pamoja kaka.
JF is everything ila kama tutaitumia vizuri.


alfredmkohiatgmaildotcom
 
Dabo indiketa inashauriwa itumike wakati una dharula kubwa mf: Ajari au gari Mbovu maana lengo lake ni kuwataarifu madereva wenzako kuwa gari yako inatatizo so wapite kwa uangalifu zaidi lakin utakuta wengi wetu tunatumia visivyo mf; katika kupita njia panda au ukipaki pembezoni mwa barabara. Pia niongezee kuna ambao aki over take gari anawasha indiketa ya kulia (hiyo sawa kabisa ila sasa unapotaka kurudi upande wako wa kushoto hunahaja yak u indiketa tena unless kama kuna gari nyuma yako na iko jirani sana sio
Hata uko pekee yako unawasha indiketa tu.

Katika gari za Automatic kuna gia za L, 2, 3 na O/D.
Kwanza ujue kabisa katika hali ya kawaida gari yako inapaswa kuwa katika D kwa maana ya Drive na hii inategemeana na mazingira ya barabara na hali yali ya hewa kama ni nzuri ila 2, 3 hutumika tu pale unapokuwa either unashuka au unapanda mlima/mteremuko mkali sana na mrefu mf’ sekenke na unataka ushuke au upande kwa speed ile ile ila isizidi 40/60 basi ndo unaruhusiwa kutumia 2, 3. Namba 2, 3 na L inamaana kuwa ina inalock gear box ili gear zisibadilike (-/+) kama ambavyo zinabadika ukiweka D na itambulike kuwa unaweza kubadili toka D kwenda 2 au 3 wakati wowote gari inapokuwa katika mwendo ila hakikisha usiwe speed zaidi ya 40/60 maana kinachofanyika ni kwamba D inasababisha sahani (disks) zilizomo ndani ya gearbox kufanya gazi nah ii upelekea ile hydrolic iliyomo kupata joto linalotoka katika zile sahani ambalo joto lile husababisha gear box kutokuwa na nguvu ile ile (constant velocity) na ndo maana ukiweka 2, 3 au L gear box inakuwa kwenye lock na sahani hazisuguani maana inakuwa inatumika sahani/disk moja tu kwa hiyo inasaidia ile hydrolick kupoa pia na ndo maana gari huongeza nguvu kwa ghafla. L inatumika pale unapokuwa either umekwama au unavuta gari jingine au tera ila inapaswa itumike kwa muda mfupi sana maana inanguvu sana na pia inaongeza ulajo wa mafuta, so kama ukiishatoka katika mkwamo na unaona bado barabara si nzuri labda utelezi au unavuta mzigo kwa mwendo mrefu basi unaweka 2 au 3 na wakati huohuo unaweza kuweka hata D kama hali ya njia na mzigo vinaruhusu na unaweza kuongeza walau speed 40/60 au zaidi kama utaweka D. kwa maana rahisi zaidi kwamba 2,3,na L inafanya kazi kama gari ya Manual nah ii inakuwa rahisi kwa yeyote ambaye anafahamu kuendesha manual.

Over Drive inatumika pale gari inapokuwa speed zaidi ya 60/80 kutegemeana na aina ya gari na hili hutokea bila wewe kujua maana gari yenyewe ndo inafanya nan do maana unashauriwa iwe on muda wote kusudi gari ichague ni wkati gani iweke on au of maana uukiwa chini ya 60/80 hata kama umeweka on bado inakuwa haifanyi kazi.
Cha mwisho ndugu zangu ni kwamba OD unaweza kuitumia kama break/stop engine hasa unapokuwa zaid ya 80 na wakati huo iko ON yaan katika dashboard taa ya OD izime ikiwaka maana yake iko OFF, basi ili upunguze mwenda kwa haraka unachofanya ni kuweka OFF na wakati huo unakanyaga break taratibu utaona mwenyewe gari lako linavyopunguza mwendo tartibu na wakati mwingine si lazima ukanyage break, we iweke OFF tu halafu toa mguu katika pedal ya mafuta gari lazima li slow down na kama lilikuwa ni tuta na umeliisha lipita basii iweke tena ON ongeza mafuta auu unaweza kuweka 2 au 3 ili gari ianze kwa kasi zaidi na ikiisha changanya basi rudi kwenye D na endelea kama kawaida.

Tahadhari: never ever kata kona wakati uko speed kubwa na gear namba tano (Kwa manual) au rpm iko 3000 Kwa automatic hii husababisha kupitiliza maana gari inakuwa nyepesi sana. Hakikisha ume slow down mpaka gia namba nne na break kidogo na Kwa autimatic either uweke 2 au 3 ila lazima weka OD off na break kidogo

Sijui kama ntakuwa nimeeleweka maana Kiswahili na lugha yetu ila mmh …!


Mkuu ubarikiwe sana kwa kututoa tongotongo sisi tuliojifunza kuendesha kwa style ya voda fasta. Wengine tulifundishwa asubuhi jioni tukawa barabarani. Munto obligado!!
 
Hapana enhe si sawa kabisa maana lengo la over drive ni kuongeza ufanisi wa injini na pia kupunguza ulaji wa mafuta Kwa maana kwamba ukiweka OD ON taa inazima na ikiwa OFF taa inawaka inapokuwa ON gia zitawahi kufika namba nne au tano na injini itakuwa nyepesi so ulaji wa mafuta unakuwa mdogo lakin pia hata injini inakuwa na maisha marefu maana rpm haiwezi kuzidi 3000 na labda nishauri Kuwa ili u save mafuta make sure rpm isizi 2000 unless kama uko safarini na unaharaka other wise usiilazimeshe injini kuanza na Kasi zisizo na lazima, weka D then ondoka taratibu huku unaangalia rpm yako isizidi 2000 utaona gari inaongeza mwendo yenyewe mpaka spidi kubwa kabisa hata 140kph na sana sana rpm wakati huo itasoma 3000 ambayo bado ni fuel efficient.

Ukidrive wakat OD iko OFF maana yake ulaji wa mafuta unakuwa Mkubwa sana na pia gari haiwezi kuchanganya haraka lakin pia unaua injini unless huzidi speed 60kph

Here is the trick part, weka OD off kama uko offroad au kuna utelezi na hutaki gari iwe nyepesi ila unataka ikimbie maana inakuwa nzito so ni nzuri Kwa barabara za vumbi lakin make sure huzidi 60kph maana OD inafanyakazi ktk speed kuanzia 60/80kph



alfredmkohiatgmaildotcom

Mkuu akohi kula tano kwa elimu uliyoileta wakati wake haswa...
unajua wengi tumejifunza na kuanza kuendesha manual.
Tulipopata Automatic cha msingi tuliangalia D,R,P na N tulipopata maana ya maneno hayo tukaingia bara barani na kuchapa mwendo. Pia driving schools nyingi bado wamekomaa na Manual hawatoi elimu sahihi ya gari anayotarajia kuendesha mteja wao.

Elimu ya msingi niliyopata hapa ni kwamba kumbe naweza kubadili gia toka D Kwenda L2 au hata 1 gari ikiwa kwenye mwendo, mathalan nilikuwa nashuka kwenye kilima kikali gari ipo kwenye spidi ndogo nataka sasa kurudi kwenye D. Kabla nililazimika kufunga breki then nabadili gia kwa kudhani ni makosa kubadili gia huku gari linatembea....LoL...

Kwenye bold nina swali...nini maana ya hizo RPM?? and how to culculate kwani gari yangu ina hiyo speedmeter tuu (0 -180).

 
Asante sana mkuu, hayo ndio mambo ambayo wakati mwingine tunahitaji kuyapata humu jamvini. Wengine tunajua kuendesha tu, mambo mengine hatuyafahamu na ndio maana mafundi wanatufanya matutusa.
 
Asante kwa somo , ila sijui sijakuelewa vizuri, ina maana 2,3 na L zote zinafanya kazi moja? najua mojawapo ni kama unapita sehemu ambayo kuna utelezi, nyingine kwenye mteremko n.k naomba ufafanuzi tafadhali
 
Mkuu akohi kula tano kwa elimu uliyoileta wakati wake haswa...
unajua wengi tumejifunza na kuanza kuendesha manual.
Tulipopata Automatic cha msingi tuliangalia D,R,P na N tulipopata maana ya maneno hayo tukaingia bara barani na kuchapa mwendo. Pia driving schools nyingi bado wamekomaa na Manual hawatoi elimu sahihi ya gari anayotarajia kuendesha mteja wao.

Elimu ya msingi niliyopata hapa ni kwamba kumbe naweza kubadili gia toka D Kwenda L2 au hata 1 gari ikiwa kwenye mwendo, mathalan nilikuwa nashuka kwenye kilima kikali gari ipo kwenye spidi ndogo nataka sasa kurudi kwenye D. Kabla nililazimika kufunga breki then nabadili gia kwa kudhani ni makosa kubadili gia huku gari linatembea....LoL...

Kwenye bold nina swali...nini maana ya hizo RPM?? and how to culculate kwani gari yangu ina hiyo speedmeter tuu (0 -180).



Asante sana mkuria Kwa Kuwa mkweli na muwazi kitu ambacho wengi wetu hatukubali kusema Kuwa sikuwa najua namna ya ku endesha hizi autos na hata Mimi Nina marafiki, ndugu jamaa wengi ambao siku zote huamini Kuwa wanjua kila kitu, anyways ni ubinadamu, nirudi ktk swali lako la msingi kuhusu RPM ni kwamba inamaanisha Revolution per Minute ambayo maana yake halisi ni mzunguko wa injini husika Kwa dakika 1 sasa ukiona iko kwenye 1000rpm maana yake injini inazunguka Mara hizo ndani ya dakika 1 na si gari zote hasa za zamani ambazi dashboard yake ina onyesha RPM, ni makosa maana ice ndo inakusaidia kujua namna ya kusave fuel concerption japo wengi hasa mafundi huskiliza muunguruno wa injini then can Tel Kuwa silencer iko juu ipunguzwe au iko chini iongezwe.

Ndio huna haja ya kusimama ili ubadilishe toka D kwena L, 2,3 au kinyume chake ila hakikisha speed sin zaidi ya 40au 60kph



alfredmkohiatgmaildotcom
 
Back
Top Bottom