Matumizi sahihi ya Dabo indiketa, gia L,2,3 na O/D katika gari za Automatic

he dabo indicator kwenye magari? mie nalifikiri ni kwenye titration unavyoangalia chemical reaction
 
Hapana enhe si sawa kabisa maana lengo la over drive ni kuongeza ufanisi wa injini na pia kupunguza ulaji wa mafuta Kwa maana kwamba ukiweka OD ON taa inazima na ikiwa OFF taa inawaka inapokuwa ON gia zitawahi kufika namba nne au tano na injini itakuwa nyepesi so ulaji wa mafuta unakuwa mdogo lakin pia hata injini inakuwa na maisha marefu maana rpm haiwezi kuzidi 3000 na labda nishauri Kuwa ili u save mafuta make sure rpm isizi 2000 unless kama uko safarini na unaharaka other wise usiilazimeshe injini kuanza na Kasi zisizo na lazima, weka D then ondoka taratibu huku unaangalia rpm yako isizidi 2000 utaona gari inaongeza mwendo yenyewe mpaka spidi kubwa kabisa hata 140kph na sana sana rpm wakati huo itasoma 3000 ambayo bado ni fuel efficient.

Ukidrive wakat OD iko OFF maana yake ulaji wa mafuta unakuwa Mkubwa sana na pia gari haiwezi kuchanganya haraka lakin pia unaua injini unless huzidi speed 60kph

Here is the trick part, weka OD off kama uko offroad au kuna utelezi na hutaki gari iwe nyepesi ila unataka ikimbie maana inakuwa nzito so ni nzuri Kwa barabara za vumbi lakin make sure huzidi 60kph maana OD inafanyakazi ktk speed kuanzia 60/80kph



alfredmkohiatgmaildotcom

kaka akohi, somo zuri sana nimekuelewa pia. mimi sijaenda driving lkn ninapiga machine kama kawaida, ila nikikagua gari langu halina hiyo 3, ina L,2,N,D,R,P. katika ushauri wa fundi mmoja aliniambia, siku zote nipende kuweka 2 na OD/OFF kwa maana ya kwamba dashboard inasoma OD/OFF (kitaa kinawaka). afu nikifika ktk mtelemko nilikuwa naweka N ninateleza kisawasawa, lkn huyo bwana akanionya nisirudie kuweka N ktk mtelemko kwa sababu ninauwa disk na meno ya gia box, hebu nijuze kamanda niendelee kula good time na N ktk mtelemko au niache huu mchezo.

nipe tips mkuu
 
Mkuu akohi, tuelezee na Yale maandishi ya kijani yanayoandika kwenye dashboard 'ECONO'
 
kaka akohi, somo zuri sana nimekuelewa pia. mimi sijaenda driving lkn ninapiga machine kama kawaida, ila nikikagua gari langu halina hiyo 3, ina L,2,N,D,R,P. katika ushauri wa fundi mmoja aliniambia, siku zote nipende kuweka 2 na OD/OFF kwa maana ya kwamba dashboard inasoma OD/OFF (kitaa kinawaka). afu nikifika ktk mtelemko nilikuwa naweka N ninateleza kisawasawa, lkn huyo bwana akanionya nisirudie kuweka N ktk mtelemko kwa sababu ninauwa disk na meno ya gia box, hebu nijuze kamanda niendelee kula good time na N ktk mtelemko au niache huu mchezo.

nipe tips mkuu


Habari Maskin, hapana usitembelee gari ikiwa ktk 2 na OD isiwe off yaana taa ya dashboard izime maana inamadhara makubwa na pia mafuta hutumika sana. Si gari zote zina 3 hasa zenye injini ndogo 4 cylinders. Sina uhakika na madhara ya N as long as umepress button ya Ku release iliyoko ktk gia leaver then ndo uweke N maana kinachofanyika ni kwamba unakuwa umetenganiisha mzunguko wa injin na gear box yaan ni sawa na gari iliyo simama huku hujazima na uwe umeweka N (nutral), binafsi nasema haina madhara ktk disc madhara huwa kwamba, unashuka mteremuko na nutral (N) wether ni manual au Automatic gari huwa nyepesi sana na nirahisi kupata ajari na pia kuna chance kubwa ya vitu vingi Ku fail ila risk yake ni ndogo sana hasa kama unauhakika na ubora wa gari lako maana kuna ambazo ukiweka N inazima na unakuta kila kitu haki operate maana vinakuwa vinatumia upepo au hydrolick pressure sasa paata picha hapo huna breack, cluch wala gear haziingi. Kama unakuwa na mwendo mdogo ni sawa tu Ku N



alfredmkohiatgmaildotcom
 
Mkuu nami nashukuru sana kwa somo hili murua, hakika nmevuna mengi, ila gari yangu mimi haina gear "L" wala "3", ina 1, 2 na D. Hii ni sawa au kwangu ni unique?
 
Mkuu akohi, tuelezee na Yale maandishi ya kijani yanayoandika kwenye dashboard 'ECONO'
Mkuu ukiona gari imekuandikia 'ECONO' maana yake ni economy, huwa inatokea pale ambapo kiwango cha mafuta kinachoingia kwenye injini ni kidogo kulinganisha na kiasi cha hewa kinachoingia kwa hiyo mafuta yanayotumika ni kidogo sana.Kifaa kinachofanya hiyo balance kinaitwa THROTTLE na kuna baadhi ya mafundi hukichezea kwenye baadhi ya magari ili ulaji wa mafuta upungue ila usijaribu kufanya huo mchezo ni hatari unaweza ukaharibu injini. Hali ya ECONOMY hutokea gari inapokuwa kati ya speed 60-90. Ni function ambayo ni common sana kwenye gari za CARINA
 
mkuu watu huniambia kuwa ninapo kuwa kwenye mwendo wa kasi halafu na weka N aka neutral nikosa katika automatic?
 
Mkuu ukiona gari imekuandikia 'ECONO' maana yake ni economy, huwa inatokea pale ambapo kiwango cha mafuta kinachoingia kwenye injini ni kidogo kulinganisha na kiasi cha hewa kinachoingia kwa hiyo mafuta yanayotumika ni kidogo sana.Kifaa kinachofanya hiyo balance kinaitwa THROTTLE na kuna baadhi ya mafundi hukichezea kwenye baadhi ya magari ili ulaji wa mafuta upungue ila usijaribu kufanya huo mchezo ni hatari unaweza ukaharibu injini. Hali ya ECONOMY hutokea gari inapokuwa kati ya speed 60-90. Ni function ambayo ni common sana kwenye gari za CARINA


Asante washa wash, kweli kabisa kama ulivyomsaidia mdau...thx!



alfredmkohiatgmaildotcom
 
mkuu watu huniambia kuwa ninapo kuwa kwenye mwendo wa kasi halafu na weka N aka neutral nikosa katika automatic?

Fuatilia nyuzi kuna sehemu nimefafanua ila si kosa japo inaweza kusababisha ajari


alfredmkohiatgmaildotcom
 
he dabo indicator kwenye magari? mie nalifikiri ni kwenye titration unavyoangalia chemical reaction


Wadau mi nashauri tuachane na hii tabia za kukosoana sepellings, grammer au tenses hayo maneno tuwaachie watoto wa shuleni maana ni bure....bure kabisa hahaha (kibaki huyo hehehe ni bure tu)

Binafsi huwa sina muda wa kuanza kuedit maana swala msingi ni watu wapate ujumbe...period!

kuna uzi niladnika kuleeeaz hili ila noaan MODs wakauonaoda.



Fesibuku: alfredkohi@hotmail.com
 
Kwahiyo mkuu akohi kwenye dashboard ikiwaka taa ya O/D OFF = ON; na kama haipo ni sawa na O/D iko OFF??
 
Hakuna kitu kwenye gari kinaitwa 'dabo indiketa', nafikiri ulimaanisha HAZARD LIGHT, but YES, they are for emergency as the name describes. Waendesha magari wasio madereva huwasha kwenye njia panda wakidhani ni kiashiria cha kwenda moja kwa moja.
 
Hakuna kitu kwenye gari kinaitwa 'dabo indiketa', nafikiri ulimaanisha HAZARD LIGHT, but YES, they are for emergency as the name describes. Waendesha magari wasio madereva huwasha kwenye njia panda wakidhani ni kiashiria cha kwenda moja kwa moja.

Mkuu kwa hiyo kwenye njia panda unatakiwa uwashe nn wakati unaenda moja kwa moja kama sio hizo hazard light?
 
Poa mkubwa, nimeelewa.

Mkuu ukiona gari imekuandikia 'ECONO' maana yake ni economy, huwa inatokea pale ambapo kiwango cha mafuta kinachoingia kwenye injini ni kidogo kulinganisha na kiasi cha hewa kinachoingia kwa hiyo mafuta yanayotumika ni kidogo sana.Kifaa kinachofanya hiyo balance kinaitwa THROTTLE na kuna baadhi ya mafundi hukichezea kwenye baadhi ya magari ili ulaji wa mafuta upungue ila usijaribu kufanya huo mchezo ni hatari unaweza ukaharibu injini. Hali ya ECONOMY hutokea gari inapokuwa kati ya speed 60-90. Ni function ambayo ni common sana kwenye gari za CARINA
 
Mkuu naomba unieleweshe kitu kimoja...ni hivi. Mimi gari yangu siku zote naendesha nikiwa nimebonyeza kile kitufe cha OD. Hivyo pale kwenye dashboard inawaka taa ya orange inasoma O/D OFF sasa hapo inamaanisha nini na je ni sawa?

Asante kwa kuniulizia swali hilo. Ila mimi huwa sibonyezi hicho kitufe hivyo huwa hiyo taa haiwaki. Sijui kama huwa niko sahihi au la!
 
Back
Top Bottom