KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Jinsia yako plse!kwa nlivyozoea mimi, natumia body spray mbili aina ya nivea( pearl n' beauty amby naispray kwapani na kwny usiri, hlf natumia fresh natural ambayo najipulizia mikonon mpk vdole vya mikono, shingon, kifuan, tumbon na mgongoni), kwanin nafany hv?, jibu ni kwmb haya makitu, p n' b ni anti-perspirant amby ina uweupe na inakuwa km poda ikikauka, na ya pili ni special kwa kuzuia harufu ya jasho ama deodorant, hlf nkishavaa vest napulizia kdg hii frsh ntrl en namalizia vwalo na viatu thn nachukua olive oil napulizia kchwn au keny nywle mwisho nachukua perfume napulizia kwny shati na suruali, hpo nakuwa tayar kuxepa zangu.