Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
duuuuuuuuuuuuu
Viwanda biashara na masoko...huyo ni yule mkulu wa EPZA...serikalini kila mtu anafanya anavyojisikia. Hivi ni gari ya ofisi gani hiyo?
shamba la bibi!
hivi ni kwanini wadau wangi wa jf hamuwezi kufikiria zaidi ya vile mnavyovijua au msivyovijua, maana naona siku zote mmeendelea kuamini mnachoamini ninyi ndiyo sahihi na hamhitaji kufikiria ukweli wa mawazo yenu inapotokea mazingira ni tofauti na mnayofikiria?
Magari ya vyombo vya dola wakati mwingine uwa yanatumia namba za private ili yasijulikane kama yapo kwenye special operation.