mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,417
- 8,402
IGP wa Nevada amedai wapiga kura walionekana na mabegi walikuwa wanaelekea Washington DC baada ya kupiga kura.
HahahahaHuko washington balozi wa Tanzania nchini marekani ameitaka serikali ya Marekani kutowanyanyasa wamarekani wenye asili ya Afrika kwa kuwazuia kuingia kwenye vyumba vya wapiga kura