sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Yaani Mattaka aliharibu ppf, akatimuliwa, akashitakiwa na akaunti zake za benki kufungiwa. Then out of the blue, akaibuka tena, safari hii ATCL na wala hakukawia, akalipeleka shirika hili la ndege ICU! Jk akaingilia, akatoa pesa za walipa kodi na kumkabidhi Mtukufu Mattaka, tena ati aliokoe taifa!!! Sasa wanampeleka katika shirika ambalo linajikongoja! Wanasema kuna Dumb, halafu Dumber, nisameheni wenye lugha yao but sisi ni DUMBEST!!!! (YAANI ZAIDI YA KUMBINGA!)