and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,110
Wakuu mtakumbuka miaka ile kuingia UDSM hata Kama una Division One ya point 3 Lazima ufanye na kufaulu Matriculation Exam. Tofauti na Zama hizi za Dot.com jitu linamaliza chuo hata kuandika sentensi mbili za kiingereza halijui. Ptuu