who is Matonya? :nerd:
arghhhhhhh......JIDE ACHA KULIALIA PIGA SHOW MWENYEWE MAISHA YANAKWENDA..."WITH US OR AGAINST US" THATS A ANTHEM
Tuache uongo twende kwenye ukweli. Jide kama jide hawezi kusimama mwenyewe bila mgongo wa clouds .aka kubebwa.na kwa wasio amini wabaki hivyo hivyo. Lakini ukweli ndio huo. Sasa mazungumzo ya mtu unayemdai unayaweka kwenye blogs ili iweje . Mbona wakati unampa hukuweka kwenye blog yako. Matonya amekataa kupiga kwenye hiyo show co amegundua haitafana bila clouds. Thts all