Sugu juuuu...
Mkuu DC am doing my best kupata figures toka huko home lakini bado sijapata...ila am determined not to sleep mpaka nijue hali ikoje!Leta matokeo ya jumla basi mkuu. Piga simu kwa akina malafyale...tunachelewesha party mkuu!
Tuntufye Kyala gwitu...abhombile inunu!amsendemke mweee! abhene kisu bhakalelee ahuli CHademaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
sugu moto chini eeeeeeh sugu moto juuuu aaaaaah,mwache sugu akalete changamoto.dr wa ukweli safiiii
mapinduziiii daima
Yaani hapo naafiki kabisa,ni lazima aandae single afu ktk hiyo single awape salamu jamaa wa clouds fm!Sugu tuandalie single ya kukusindikiza bungeni. Tutaandamana kutoka makao makuu mtaa wa Ufipa dsm kuelekea dodoma kuapishwa. Sugu jiandae.
Sugu atawatetea wasanii wa kweli sio njaa waliojipendekeza kwa CCM wakasahau kuwa audiance yao sio wana-CCM tu!
Kwa matokeo ya mr sugu clouds fm lazima itafute pa kukimbilia.hivi kwa sasa wanatangaza nini ktk matangazo yao?
Jamani msikeshe mna kunywa pombe. Kazi bado. Mpaka matokeo YOTE ya MZA, Mbeya, k'jaro, Kagera and Moro/Dom yamepatikana. Baada ya hapo ndo watu waende Makanisani, misikitini, kwenye miti, pls don't drink pls......