CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,827
- 1,858
Kundi lenye 18%
wewe je?
Kiuno chako kilipona?
Kundi lenye 18%
wewe je?
Kiuno chako kilipona?
Tafuta muda niwafundishe hesabu za % wewe na vilaza wenzio hapo kila item inajitegemea kama sample acha kujafanya unajua kumbe kilaza
iko vizuri tu nilipo kuwa darasa la tatu tulikuwa tuna sema 2 gawanya kwa 5 jibu lake ni haiwezekani na mwalimu huku akijua kabisa kuwa inawezekana na jibu lake ni 0.4 bado alikuwa ana tupa alama ya vema kwa sababu ya level yetu wakati ule. Ninajua pia kwa level ya baadhi ya watu wataona 522% haiwezekani lakini 522% ipo na sahihi.