Matokeo ya utafiti kuhusu mende.

Madihani

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
5,973
6,606
5f05e6f3530fcf1543ef89a3b578c7e1.jpg
 
mende ananyonyo alafu yupo kundi gani..?
maana me najua ni mdudu sasa vipi tena na maziwa..
hii kamba
 
mende ananyonyo alafu yupo kundi gani..?
maana me najua ni mdudu sasa vipi tena na maziwa..
hii kamba

Aisee huko china Mende analiwa tena ni chakula ghali kweli...wanafugwa kama kuku kwenye sehemu maalum ili waweze kuzaliana kwa wingi
 
kweli wansema tanzania kufikia mwaka 2035 inaweza ikaj kuwa na watu milion 150 inamaana kwa mazingira hayo na sisi tutaanza kuishi kama wachina tutaanza kula. nyoka mende chura mbwa kenge nk.
 
Huyo mdudu nasikia hamwamini binadamu hata kidogo.
Ikitokea akamgusa hata kwa bahati mbaya lazima akanawe mikono.
 
Hata kama angekuwa na ATM kwangu mimi mende ni mende tu hao wazungu wanywe kisha walete humu mrejesho.

Kwanza unaanzaje kumkamua huyo mende?

Bullshit
 
SOURCE please inaonekana kama habari ya kutunga tu mende hizo chuchu zenyewe hana hata mtoto wake hawez kulea akitaga yai hapo litajitotoa lenyewe sasa sijui hao watafiti walifanyia utafiti wao kwa mende wa aina gani?
 
SOURCE please inaonekana kama habari ya kutunga tu mende hizo chuchu zenyewe hana hata mtoto wake hawez kulea akitaga yai hapo litajitotoa lenyewe sasa sijui hao watafiti walifanyia utafiti wao kwa mende wa aina gani?
Unampasua ndio unapata hayo maziwa.
 
CockroachFarm.jpg

Hizo reseach labda zimefanyika huku shambani
According to WHO (Reliable source)
They are proven or suspected carriers of the organisms causing: — diarrhoea — dysentery — cholera — leprosy — plague — typhoid fever — viral diseases such as poliomyelitis. In addition they carry the eggs of parasitic worms and may cause allergic reactions, including dermatitis, itching, swelling of the eyelids and more serious respiratory conditions (
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom