Elections 2010 Matokeo ya uraisi....

akuibie nani wewe jamani?
Wanavyokuibia mkeo nyumbani ndio unaona kila kitu unaibiwa tu!

sasa faith hizo jazba....yangu ina centimeter 20 ...na diameter[kipenyo] cm 5 ....anayeniibia atakuta bwawa tu na kuniachia..na wewe...ukitaka ni pm.....hapa tunaongelea siasa ..sio wake zetu....au waume kwa wengine.
 
vipi bado mnategemea apate asilimia 88%%.....kumbuka hata dr slaa akipata 45%...ni hatua kubwa ....!!!.....lakini mmeona wenyewe maeneo mengi slaa ameongoza .....tunasubiri .....ccm wachakachue ili kupata turn out ya 20 million waliyoahidi labda ndo atapata 70%% bati haki bin haki ameanguka na pua!!

Kaka matokeo yalivyo yanaonyesha kwamba hali si nzuri kabisa kwa CCM, japo Chadema nao wako kama wameshitukizwa na nguvu ya umma, yaani hata baadhi yao wanaonekana hawajajiandaa kuongoza nchi wako bz na ubunge wao... sasa hii ni hatari. Hebu fanya utafiti mdogo uone, miko ambayo ina idadi kubwa ya watu ndiko ambako Dk. Slaa amepata kura nyingi na baadhi ya mikoa wamegawana na CCM, wakati CCM imezoa kura maeneo yenye idadi ndogo ya watu na huko wamegawana na CUF, mfano Lindi, Mtwara, baadhi ya maeneo ya Pwani, Singida, Dodoma na Morogoro (ambako Chadema nako wamo sana). Sasa kwa hali ilivyo kama Chadema wangekuwa makini mwaka huu ni wa kushika madaraka na si suala la ubunge tu.
 
kinachokuwasha na kukuumiza ni hii hali ya amani iliyopo tz unatamani wewe askari wafanye fujo na amani itoweke huna lolote!
Wazowea nazi samli hawaiwezi!

hiyo amani na utulivu ndio mnatishia nayo watu kila siku ...nani aliyekuambia watanzania wanapenda vurugu.....umeona vurugu hadi sasa ..acheni kukuza mambo!!!!...mko radhi kuuwa watu ili ionekane kuna fujo....watanzania wanapenda amani!!
 
If you really a doctor want to treat a patient you have to start from the source,IF WE TANZANIA WANT A CHANGE FOR BETTER OF OUR TOMORROW WE MUST CHANGE THE TOP LEADERSHIP.....WHATEVER GOOD NUMBER OF MP'S IS WITHOUT GOOD AND PERFECT PRESIDENT IT IS NOTHING.......IT LIKE TO PREPARE A SUPRISED FOOD BY WAITING SOMEONE TO ADD SOME SALT....THAT MEANS THE NICE OF THE FOOD STILL DEPEND COMPITENCE OF THE ONE WHO STIR SOME SALT ON IT''

YOU nec WE NEED THE PERFECT PRESIDENT.
 
jackob projection kwa kuzingatia matokeo yanavyoendelea kuthibitisha hoja zako.
Hofu yangu ni kwamba JF naona interest ya waliowengi ni kwenye majimbo ya uchaguzi ambayo yanaonesha Chadema inaongoza na hawataki kabsaaaa kusema pale Chadema inapoangukia pua ndio maana nakua na wasiwasi juu ya taarifa nyingi. sitaki tuumizane kwa kupeana matumaini makubwa. Dr. JK bado atashinda ila kwa asilimia ngapi, bado nim kitendawili. Thithiem bado wako fiti maeneo mengi kinoma.
 
akuibie nani wewe jamani?
wanavyokuibia mkeo nyumbani ndio unaona kila kitu unaibiwa tu!

Mtajibeba safari hii,mimacho imewatoka pima,mlidhani wapiga kura wa 2010 ndio wale wa 1995? imekula kwenu lol!
 
Kaka matokeo yalivyo yanaonyesha kwamba hali si nzuri kabisa kwa CCM, japo Chadema nao wako kama wameshitukizwa na nguvu ya umma, yaani hata baadhi yao wanaonekana hawajajiandaa kuongoza nchi wako bz na ubunge wao... sasa hii ni hatari. Hebu fanya utafiti mdogo uone, miko ambayo ina idadi kubwa ya watu ndiko ambako Dk. Slaa amepata kura nyingi na baadhi ya mikoa wamegawana na CCM, wakati CCM imezoa kura maeneo yenye idadi ndogo ya watu na huko wamegawana na CUF, mfano Lindi, Mtwara, baadhi ya maeneo ya Pwani, Singida, Dodoma na Morogoro (ambako Chadema nako wamo sana). Sasa kwa hali ilivyo kama Chadema wangekuwa makini mwaka huu ni wa kushika madaraka na si suala la ubunge tu.

Halisi,

Kwenye urais nafikiri CHADEMA wamezidiwa. Mbali na mikoa uliyoitaja JK anaongoza pia Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Mbeya na Rukwa.

Ukiweka na Dodoma, Tabora, Singida, Morogoro, Iringa na kule Zanzibar. Dar ni kama wanagawana katikati.

Itakuwa ngumu sana Slaa kumpita JK kwa jinsi matokeo yanavyoonyesha sasa.
 
hofu mnajitengenezea wenyewe bila sababu, ukishahakikisha kuwa kura za mbunge ndiyo sahihi, ina maana na za uraisi pale nazo zitakuwa sahihi,
sasa kama mbeya mjini Dr. wa ukweli kambwaga dk. kwa zaidi ya kura 17.something elfu hivi , tusubiri jamani.
 
hofu mnajitengenezea wenyewe bila sababu, ukishahakikisha kuwa kura za mbunge ndiyo sahihi, ina maana na za uraisi pale nazo zitakuwa sahihi,
sasa kama mbeya mjini Dr. wa ukweli kambwaga dk. kwa zaidi ya kura 17.something elfu hivi , tusubiri jamani.

Ni kweli hata kama Slaa ameshinda Mbeya mjini kwa kura 20,000 lakini mkoa wa Mbeya una majimbo 11 na jumla ya wapiga kura karibu milioni moja. Huko kwingine ndiko JK anapata kura nyingi sana, hasa wilaya za Kyela, Rungwe na Ileje.
 
Back
Top Bottom