faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 33
Nimewasikitikia Singida mjini...wamempa jk 19,000 dhidi ya 5,000 za daktari wa ukweli..
kinachokusikitisha ni nini?si kila mtu ana haki ya kidemokrasia kumchagua kiongozi anayemtaka?mbona mnapenda kuingilia uhuru wa kidemokrasia wa wenzenu!
mbona watu mnalalamika sana nchi mtaiweza kweli mkipewa?