Uchaguzi ulisha isha ,Mchengerwa Mungu atampigiaNaona kimya kingi. Sijaona hata sehemu moja wapinzani wameshinda. Naomba mwenye matokeo please...
Hapo ulipo wewe chama gani kimeshinda?
Hatukuwa na uchaguzi nchini ndugu, unaishi wapi.Naona kimya kingi. Sijaona hata sehemu moja wapinzani wameshinda. Naomba mwenye matokeo please...
Hapo ulipo wewe chama gani kimeshinda?
Ulipiga Kura? au ukisha jua nini kinafuata? Nchi imejaaa wajinga sana hii, naona hadi aibuNaona kimya kingi. Sijaona hata sehemu moja wapinzani wameshinda. Naomba mwenye matokeo please...
Hapo ulipo wewe chama gani kimeshinda?
Baba mkwe kaonesha umkwe wake.Ila Mungu yupo na huwa fundi sanaUchaguzi ulisha isha ,Mchengerwa Mungu atampigia
Mchengerwa ana kifua kipana.
MCHENGERWA Mungu anasema atampigia , so vyema sim yake ikae hewaniBaba mkwe kaonesha umkwe wake.Ila Mungu yupo na huwa fundi sana
Hujui dunia , nimeamini kwa macho yangu kabisa , ccm ilishakufa zamani sana , na wanalijua ,ndo maana wanalinajisi taifaMpaka sasahivi kwa upinzani hali ni tete kwakweli.Watanzania bado wanaimani na CCM.