i)Kitongoji cha Kopachi:CCM - 69,NCCR-Mageuzi 49
ii)Kitongoji cha Mkonja:CCM -53,NCCR-Mageuzi 39
[HASHTAG]#NOTE[/HASHTAG] Vijana wa Chadema Mitandaoni na Uongozi wa Chadema kanda ya kaskazini umesema wananchi walioichagua CCM ktk uchaguzi mdogo huko vunjo hawana akili, maskini na ni wale wasiojitambua. Hii kauli ya viongozi wa Chadema ni moja ya kauli za kijinga sana ktk chama kinachohubiri demokrasia na uhuru wa kuchagua.
Binafsi niwakumbushe Chadema kuwa, hata hizo kura wanazoziita za wajinga na maskini huwa zinahesabiwa ili kumpata mshindi hivyo wasiwadharau maskini au watu ambao hawajasoma kama kweli wanadhani ndiyo wanaosababisha CCM kushinda kila siku tangu uhuru.
ii)Kitongoji cha Mkonja:CCM -53,NCCR-Mageuzi 39
[HASHTAG]#NOTE[/HASHTAG] Vijana wa Chadema Mitandaoni na Uongozi wa Chadema kanda ya kaskazini umesema wananchi walioichagua CCM ktk uchaguzi mdogo huko vunjo hawana akili, maskini na ni wale wasiojitambua. Hii kauli ya viongozi wa Chadema ni moja ya kauli za kijinga sana ktk chama kinachohubiri demokrasia na uhuru wa kuchagua.
Binafsi niwakumbushe Chadema kuwa, hata hizo kura wanazoziita za wajinga na maskini huwa zinahesabiwa ili kumpata mshindi hivyo wasiwadharau maskini au watu ambao hawajasoma kama kweli wanadhani ndiyo wanaosababisha CCM kushinda kila siku tangu uhuru.