Uchaguzi 2020 James Mbatia aomba kura nyumba kwa nyumba jimbo la Vunjo

NCCR Mageuzi

Member
Oct 3, 2007
23
63
Siku chache mara baada ya Tume ya Taifa ya uchaguzi kumzuia kufanya mikutano ya hadhara Mgombea Ubunge wa Jimbo la Vunjo ndugu James Francis Mbatia kwa ajili ya kampeni za kuomba kura, sasa ndugu Mbatia ameamua kuomba kura nyumba kwa nyumba huku kundi kubwa la wananchi na wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi wakimuunga mkono kwa kuandamana nae kata kwa kata nyumba kwa nyumba kwa ajili ya kuomba kura ili waweze kumchagua tena kuliongoza Jimbo la Vunjo 2020-2025

2.png


WhatsApp Image 2020-10-19 at 16.41.27.png
 
Siku chache mara baada ya Tume ya Taifa ya uchaguzi kumzuia kufanya mikutano ya hadhara Mgombea Ubunge wa Jimbo la Vunjo ndugu James Francis Mbatia kwa ajili ya kampeni za kuomba kura, sasa ndugu Mbatia ameamua kuomba kura nyumba kwa nyumba huku kundi kubwa la wananchi na wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi wakimuunga mkono kwa kuandamana nae kata kwa kata nyumba kwa nyumba kwa ajili ya kuomba kura ili waweze kumchagua tena kuliongoza Jimbo la Vunjo 2020-2025

View attachment 1605832

View attachment 1605833
This snitch. This pimp!
 
Mbatia ingia tu ccm upate kazi nyingine
Huko ni kimei tu

Ova
 
Back
Top Bottom