figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
siwezi kubisha wala kukubali kwa sababu hata mimi sina matokeo tofauti na yale ya nape aliyoweka hapa.hapa ndo utaona umuhimu wa chadmatv.hadi sasa hivi hamna tv station yoyote inayoonyesha picha za igunga.na wanaotupa habari za kule ni wakuja.hawajawa na wanajf kule igunga.lakini ingekua arusha au mwanza tungekuwa tushapata matokeo.acha watu wajiliwaze.mia