Jamni kwa niaba ya wanafunzi wenzangu mbona matokeo hayatoki kama walivyo sema ama huku nilipo system sio nzuri?
Naomba kujua kama yametoka ama bado asante natangulia salamu kwenu Mungu akubariki wewe unaesaidia hili swali.
Sent using
Jamii Forums mobile app