Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,443
Sijui ni kuathiriwa na malezi au tabia tu.
Mimi najua kuomba au kutarajia msaada huwa ni hatua ya mwisho sana.
Kuna baadhi ya watu hudhani msaada ni haki yao. Na matokeo yake ni yafuatayo.
Kuwa wazembe. Kutafuta wa kumtweka matatizo na majukumu yao.
Chuki hasa kwa pale walipoomba msaada na kushindwa kupewa.. Wanasahau msaada si lazima.
Huzalisha uvivu wa akili na mwili mtu kudhami yeye hawezi kufanya lolote mpaka asaidiwe.
Kupenda misaada huabisha na kushusha utu wako.
Wanapaswa kujua kila mtu huwa anakabili hali ngumu ni vile sababu anabaki nalo moyoni.
Mimi najua kuomba au kutarajia msaada huwa ni hatua ya mwisho sana.
Kuna baadhi ya watu hudhani msaada ni haki yao. Na matokeo yake ni yafuatayo.
Kuwa wazembe. Kutafuta wa kumtweka matatizo na majukumu yao.
Chuki hasa kwa pale walipoomba msaada na kushindwa kupewa.. Wanasahau msaada si lazima.
Huzalisha uvivu wa akili na mwili mtu kudhami yeye hawezi kufanya lolote mpaka asaidiwe.
Kupenda misaada huabisha na kushusha utu wako.
Wanapaswa kujua kila mtu huwa anakabili hali ngumu ni vile sababu anabaki nalo moyoni.