Maumbile genetically yanatofautina mno , mfano mimi nina mifupa mikubwa mtu ambae ningejiachia kidogo ningekua giant, ila mazoezi yananifanya niikatae asili yanguBwashe kuna watu wana miili mikubwa , hawawezi kuwa leaner, unakuta wanakula chakula sawa na sisi vimbau mbau mwiko wa pilau lakini wanajaa.
Nafikiri tunatofautina metabolism.
Una control chakula au unapiga tizi? Na unakula ngano … unawezaje kucontroll mwili.Maumbile genetically yanatofautina mno , mfano mimi nina mifupa mikubwa mtu ambae ningejiachia kidogo ningekua giant, ila mazoezi yananifanya niikatae asili yangu
Naunga mkono hoja. Mke wangu huwa ananiona nina six packs lakini Mimi huwa najiona nina kijitambi,na lazima king'oke!😀Kitambi ni uzembe , kitambi sio sifa nzuri , ni ishara ya ulafi na uzembe wa hali juu mno, juu ya afya yako mwenyewe, bora ukose hata mia ila usiwe na kitambi tu .
Sasa imefika hatua mtu ananenepa mpaka mapaja , unakuta akisimama mapaja yanashikana
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko?
Amesikia vilio vyetu😂😂😂Mods mmefuta na kupunga , nakufuta picha kabisa naheshimu mawazo yenu japo naona sio sawa
Kuna Mshana wa humu ana tumbo kama kobisi
Tuendelee kukilea huku tukipata Moja mbili za container bar au wajenzi
Juzi ulikuwa wajenzi wewe🤣Tuendelee kukilea huku tukipata Moja mbili za container bar au wajenzi
Kimbo mbali mwiko wa pilau😆😆Bwashe kuna watu wana miili mikubwa , hawawezi kuwa leaner, unakuta wanakula chakula sawa na sisi vimbau mbau mwiko wa pilau lakini wanajaa.
Nafikiri tunatofautina metabolism.
Uzi ufungweVitambi tutafuga na huna unachoweza kutufanya.
Teh teh ile honi unagusa kitambi hapana taka wewe kbs.Mkuu sio madogo ni ushauri tu
Mwili mkubwa ni tofauti na kitambi. Unamjua LeBron James? Mwili nyumba lakini hana kitambi. Kuna watu wana vimwili vidogo ila kitambi kama papai!Bwashe kuna watu wana miili mikubwa , hawawezi kuwa leaner, unakuta wanakula chakula sawa na sisi vimbau mbau mwiko wa pilau lakini wanajaa.
Nafikiri tunatofautina metabolism.
Ntakuja hapo Msamvu nikupige msosi alafu nikuzodoe shauri yako.Wamepunguza ut
Watu wa kitambi mfe kabis6
Wewe umekua miaka ya 80? Enzi zile njaa ilikuwa kali! Ugali wa njano tena lwa foleni. Sasa hivi misosi ya kumwaga ma junk food kibao mara Edson chips sijui nani biriani mara KFC yaani mitakataka kila angleMiaka ya 80 kipindi tunakua jamii ilikuwa na watu wembamba na wakati, Ila sku hz ni mipipa tuu