Acha kuchachawaSamahan jaman kama kuna mwenye ana fununu kuhusu matokeo ya kidato cha NNE mana kuna watu wanasema tareh 28 mwez huu sasa cjui kama ni kweli
Nb:jokes hazifai
Huwa yanatoka katikati ya mwezi February kila mwaka kwa mwaka huu sijajuaSamahan jaman kama kuna mwenye ana fununu kuhusu matokeo ya kidato cha NNE mana kuna watu wanasema tareh 28 mwez huu sasa cjui kama ni kweli
Nb:jokes hazifai
Jipya lipo. Matokeo yako yakitoka tutumie tuone gt mwenzetu wa kidato cha nne alichopataAta ww ulianzia huku so hakuna jipya hum
We elewa ni wiki ya pili au tatu ya mwezi wa pili dogo.Mambo yanabadilika hasa upande wa elimu vp mbona unapanik bro
Jamani naomba kuuliza matokeo ya kidato cha nne yanatoka lini?
Haaaa haaa usimvunje moyo bhana kkAisee!
Jf bhana yaani kumbe humu tunajichanganya na mitoto kabisa hii!
Any way utakua umefeli wewe maana hata msimu wa matokeo huujui
Kawaida tuHaaaa haaa usimvunje moyo bhana kk
Tembelea necta.go.tz ndo swali lako litajibiwaMatokeo
Kufel kawaida sana mr chamteoHebu tuliza kipele chako wewe, na utafel tyuu