mr chamteo
Member
- Jan 9, 2017
- 30
- 17
Majina yamepelekwa mahakaman, hivyo subirien hukumu
[emoji23] [emoji23] duuMliambiwa msubiri mahakama itatangaza hayo matokeo.
Unaishi karibu na mahakama gani ? nina marafiki wengi sana ni mahakimu huenda wakatia wepesi.
Watu wengine bhana. Sasa ulitaka akaulize sokoni, au kwenye daladala? Na hivi hujui kama huku kuna wengi tu wanahusika na mambo hayo na wanaweza kukupa fununu. Pia kumbuka kama wewe hujui, basi wapo wanaojua. Hata mimi namuunga mkono na ni mwenye kufwatilia majibu ya wadau.Yaani matokeo ya Form Four unaulizia huku, nina mashaka na upeo wako wa kufikiri.
Yan kuna watu wapo humu wao kaz kupinga tu wakat ata hajui matumiz ya majukwaa haya duu elimu itusaidie yan huyo jama hazimtosh labda anataka aende kuuliza kanisanWatu wengine bhana. Sasa ulitaka akaulize sokoni, au kwenye daladala? Na hivi hujui kama huku kuna wengi tu wanahusika na mambo hayo na wanaweza kukupa fununu. Pia kumbuka kama wewe hujui, basi wapo wanaojua. Hata mimi namuunga mkono na ni mwenye kufwatilia majibu ya wadau.
Tuna namba yako nikuangalizie nipo necta hapaEti matokeo ya kidato cha NNE yanatoka lini
S.1723/0017Tuna namba yako nikuangalizie nipo necta hapa
Ungemsaidia kwa kuweka link ya hizo post zingine!Kama sikosei hii ni post ya tano kwa mwaka, kudai matokeo ya CSEE 2016.
Ili kupunguza idadi ya nyuzi zisizokuwa na tija, ni heri swali lako ufwatilie kwenye thread zilizopita.
Si kila mtu apost!
Ungemsaidia kwa kuweka link ya hizo post zingine!
Nimefwatilia. Yeye peke yake huu ni uzi wa pili yenye kudai CSEE 2016. Kuwa na subira, hadi mimi hayo matokeo yananihusu directly. Ila subira ni muhimu, japo nilisikia tetesi kuwa ni tar28JAN.Ni za huyu huyu Dogo kama sikosei.... Au huenda majina yanafanana.
Duu mwez wa 7 kwel jf kuna furaisha watu sio wa sport sportmwaka huu kazi ipo yaani watu wana kiherehere sijui mitihan ilivuja ndio wanataka wapate muda wa kujisifu ila watatoa maana shule mpaka mwez wa 7 ata wakitoa m wezi wa 5 hakuna Tatizo