mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
waliokabidhiwa wameziua ili zao walizoanzisha binafsi zipate wateja!!!!!!!!!!!!! ole wetu walala hoi
Wamefulia hasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Shule za kata hazitamanishi hata chembe.
Mbona haifunguki?????
Kama watanzania wengi wenye ndugu ambao wamemaliza form 4. Kitu kimoja kimenishangaza sana kwanini taasisi ya serikali inaweka tangazo kwamba kama mwanafunzi anataka kuona majibu kwa njia ya simu ni lazma awe na line ya VODACOM ilI apate majibu hayo! Serikali kuweni makini hio kitu haina manufaa kwa jamii husika kwasabau mnajua kabisa kwamba watu wanatumia line tofauti.
Over and out
WAFANYAKAZI SERIKALINI KUWENI MAKINI NA MIKATABA YA KIJINGA MNAYOINGIA AMBAYO HAINA MANUFAA KWA WALENGWA.
Kama watanzania wengi wenye ndugu ambao wamemaliza form 4. Kitu kimoja kimenishangaza sana kwanini taasisi ya serikali inaweka tangazo kwamba kama mwanafunzi anataka kuona majibu kwa njia ya simu ni lazma awe na line ya VODACOM ilI apate majibu hayo! Serikali kuweni makini hio kitu haina manufaa kwa jamii husika kwasabau mnajua kabisa kwamba watu wanatumia line tofauti.
Over and out
WAFANYAKAZI SERIKALINI KUWENI MAKINI NA MIKATABA YA KIJINGA MNAYOINGIA AMBAYO HAINA MANUFAA KWA WALENGWA.
Hatimae nimefanikiwa, thanks!!overloaded Katavi, keep on trying
Hatimae nimefanikiwa, thanks!!