MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

Duuu, ndugu yangu rudi darasani ukafundishwe kuandika. Mbona umetuwekea utumbo huu!!
 
50-50 itafikiwa tu pale mashekh watakapoa acha siasa na kufuata muongozo wa dini yao na kuhimiza watoto kwenda shule na kuzingatia elimu, sio kucheza kiduku na taarabu

Nilipo bold umeharibu quality of the best post. Yaani kama ni keki umeiwekea icing ya kinyesi badala ya sugar
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

Kumbe ndio maana Div IV na Zero za kumwaga Tz, kwa uandishi huu napata picha wasahihishaji wa mitihani hawana kosa!
 
umenikumbusha rafikiyangu anafamiraya yamtoto 1 umuli mk4 kamamzazi alimuonyamtoto asilechakura kwawatu sikumojaalikosananamke akazirakurachakurakwawikinzima mtoto alimuhoji babayake ulishanikatazakulakwawatu weweunakulakwawatu wikinzima unaniluhusunamiminilagee? niwajibuwakira tz kuhoji mamboyanayoendatofauti nahi inatokanana watu kupotezaimni na silikali viongoziwetu wamepoteza maadili yauongozi ruswa ufisadi ndo na 1 siwatofautishi na rafikiyangu

Mkuu bana hata kama unapost via mobile phone lakini hiyo imezidi bana. Edit mkuu.
 
hapo ndio wajue kumuomba Mungu bila jitihada binafsi ni bure. Wakati nasoma Seminari, motto ilikuwa (SAKAMA) Sala,Kazi Masomo. Ukibalance haya matatu utakuwa zaidi ya kumi bora.
 
shule za kata sio shule ila vituo vya kudhibiti population pressure kwa miaka minne nadhani wako mbioni kuja na sera ya kufuta au kupunguza makali mtihani wa kidato cha nne kama walivyofanya darasa la nne, kidato cha pili ambayo matunda yake ndo tunayona sasa, huu ndio ubora wa sera zetu za elimu z:A S 20:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom