samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Huku kwenye elimu hawaoni, na hawakuliona hilio tangu zama za kina tip tip! Uislam ilikuwa dini ya kwanza ya kigeni kwetu afrika (especially kwetu tz/tanganyika) kabla ya ukristu, Jiulize hadi tunapata uhuru, what did they do to take advantage of the earlier mover! Nadhani kama maendeleo yanahusu elimu hii dunia basi waache kuweka mambo ya udini! Naogopa kusema wasijewakadai wanaosahihisha mitihani ni wakristo!
nakubali, lkn kwan ini high view walishtuka, walipanga mkakati? huku seminary hakufanyiki mkakati kama huo?
Mkulu
Heshima mbele, huko shule ya High view NECTA walistuka kwa sababu shule hiyo ilikuwepo kwa muda mrefu na ghafla ikatoa matokeo hayo unayosema kwamba ni mazuri mno.
Shule nyingi za seminari performance yake ni mzuri from the start.Ingawa binafsi sikubali kuwa hizo ni shule bora kwa sababu minimum requirements i.e alama wanazoweka ili mwanafunzi apate admission ni za juu sana , hivyo matokeo yake ni kwamba by default wanachagua wanafunzi ambao ni wenye uwezo wa juu sana.
Mwanafunzi kama huyo haitaji kufundishwa sana na mwalimu ili afanya vizuri kwa sababu tayari anamsingi mzuri wa kielimu.
Shule hizi hata style ya ufundishaji wake siyo kama sekondari nyingine ni kama vyuo fulani hivi, wanafunzi wanapewa references zakusoma then assignments inatolewa , lastly kipindi kinachofuata they sit for discussions on areas ambazo zinahitaji ufafanuzi zaidi.
Binafsi naamini shule nzuri ni ile ambayo mwanafunzi anapokelewa akiwa na alama 30 , then walimu wanaanzia hapo, mtihani unaofuata anapata 40 , then 60 kadri siku zinavyokwenda mwanafunzi ana-improve gradually kitaaluma
Hata hivyo nawapongeza viongozi,wafanyakazi,walimu na wanafunzi wa shule za seminari, ijapokuwa sizioni kama ni shule za kumjenga mtoto asiye na uwezo mkubwa gradually , ambao ni watoto wetu hao,wao wanataka wale walio na uwezo tayari.
kwa muktadha huo, hizo siyo shule.
nakubali, lkn kwan ini high view walishtuka, walipanga mkakati? huku seminary hakufanyiki mkakati kama huo?
Mkulu
Heshima mbele, huko shule ya High view NECTA walistuka kwa sababu shule hiyo ilikuwepo kwa muda mrefu na ghafla ikatoa matokeo hayo unayosema kwamba ni mazuri mno.
Shule nyingi za seminari performance yake ni mzuri from the start.Ingawa binafsi sikubali kuwa hizo ni shule bora kwa sababu minimum requirements i.e alama wanazoweka ili mwanafunzi apate admission ni za juu sana , hivyo matokeo yake ni kwamba by default wanachagua wanafunzi ambao ni wenye uwezo wa juu sana.
Mwanafunzi kama huyo haitaji kufundishwa sana na mwalimu ili afanya vizuri kwa sababu tayari anamsingi mzuri wa kielimu.
Shule hizi hata style ya ufundishaji wake siyo kama sekondari nyingine ni kama vyuo fulani hivi, wanafunzi wanapewa references zakusoma then assignments inatolewa , lastly kipindi kinachofuata they sit for discussions on areas ambazo zinahitaji ufafanuzi zaidi.
Binafsi naamini shule nzuri ni ile ambayo mwanafunzi anapokelewa akiwa na alama 30 , then walimu wanaanzia hapo, mtihani unaofuata anapata 40 , then 60 kadri siku zinavyokwenda mwanafunzi ana-improve gradually kitaaluma
Hata hivyo nawapongeza viongozi,wafanyakazi,walimu na wanafunzi wa shule za seminari, ijapokuwa sizioni kama ni shule za kumjenga mtoto asiye na uwezo mkubwa gradually , ambao ni watoto wetu hao,wao wanataka wale walio na uwezo tayari.
kwa muktadha huo, hizo siyo shule.
hakuna mxzazi mwenye uwezio anaye weza kumpeleka mwanae kwenye hizi shule so solition ni serikali kutatua hili tatizo na wala hii sio solution..wazazi ambao hawana uwezo ndio wapo wengi nchini
Huku kwenye elimu hawaoni, na hawakuliona hilio tangu zama za kina tip tip! Uislam ilikuwa dini ya kwanza ya kigeni kwetu afrika (especially kwetu tz/tanganyika) kabla ya ukristu, Jiulize hadi tunapata uhuru, what did they do to take advantage of the earlier mover! Nadhani kama maendeleo yanahusu elimu hii dunia basi waache kuweka mambo ya udini! Naogopa kusema wasijewakadai wanaosahihisha mitihani ni wakristo!
Sioni kama ni suala la udini................ HIVI UNAJUWA KUWA TOFAUTI ZETU ZINAANZIA HAPA.....???Acha mambo ya UDINI ZUNGUMZIA SHULE ZA KIKWETE ZA KATA
Isije ikaishia kukuuma tu........... hayo maumivu unayoyapata uya-TRANSLATE kwenye kurekebisha yafuatayo...........Jaman nasikitika sana. Iyo shule ya kwanza ni shule au wanachama waliamua pia majina yawepo necta. Hapa muhogomchungu ndo adhihirishe aliyoyasema kwenye thread zake kuwa seminari wanaiba pepa. Pia wizara ichunguze sifa za walimu wao,isije kuwa sifa ni imamu,ustadh tu! Inauma sana.
- Jee kuna ulazima wa mwanafunzi anaemaliza seminary na kupata div1 na hukua kwa mwanfunzi bora wa mwaka kati ya wanafunzi waliofanya exam tz kujiunga na vyuo vya kata yaani Udsm, Ifm, Mzumbe, Muhimbili hasa wale wanaopenda uandishi wa habari. political science , engineer na vyengine. jee si kuna vyuo vikuu vya seminary kama vile morogoro muslim, St joseph , st augustino na vyengine. jee huko ni wababaishaji?
Jamani JamiiForums ni ya watu makini, hivyo kabla ya kukurupuka na conclude kitu tuwe tunafanya uchunguzi hata kidogo. Yani ukiingia kwenye website ya NECTA kuna email ya wahusika(esnecta@necta.go.tz) hivyo unaweza kuandika email na kuulizia kuhusu kitu hicho, usipopata majibu ndio ufanye conclusions zako. vile vile unaweza kuwasiliana na kampuni za simu na kuwauliza kuhusu hiki kitu ili kujiridhisha....hatutengenezi habari kwa kukurupuka na kujiandikia tuu...kama unafanya hivyo then andika "mimi ninavyofikiria....." lakini sio unaandika kama una uhakika wa asilimia mia moja!!!
Mimi nimejaribu kuulizia na nimeambiwa NECTA iliwasiliana na makampuni yote ya simu kuhusu huduma hii na kampuni iliyorespond katika wakati muafa ni vodacom peke yake, then ZANTEL wamechelewa kidogo lakini wameonyesha nia...na masuala ya ufundi yako hatua za mwisho japo kwa matokeo haya wameshindwa hivyo kwa matokeo mengine
yajayo ZANTEL watakuwemo.
Ni lazima tujue kwamba issue kama hii inahusisha mambo ya kiutawala na kiufundi, hivyo kampuni haiweza kukurupuka leo na kusema nataka kutoa mtokeo kwa sms, hivyo kuna hatua za kupitia kuweka mambo sawa na kufanya majaribio kujiridhisha kwamba huduma itakuwa ya kufaa na kumridhisha mteja, na katika hili NECTA na kampuni za simu inabidi zishirikiane...hivyo kwa hili naona NECTA wamekosa ushirikiano kutoka kampuni zingine za simu. Nimeiona hii email ya majibu kutoka NECTA sasa hivi saa 10 alfajiri hivyo sijapata bahati ya kuwasiliana na kampuni za simu kukamilisha habari yangu ila nitafanya juhudi ya kuwasiliana na kampuni za simu husika na nita update hapa. Ila kama kuna walengwa wa kampuni za simu nafikiri watatusaidia kujibu hili ili kuokoa muda.
Hivyo suala kwamba VODACOM wana mkataba wa kutoa matokeo kwa SMS "PEKE YAO" halipo, na hata kama wewe una uwezo wa kutoa kwa sms wasiliana ne NECTA muuone mambo ya kiufundi na kiutawala yanakuwaje ili uingie nao mkataba "FULL STOP"
Bwana Kapinga mie nakuelewa sana na hakuna issue ninayodivert hapa ila najaribu kukuelewesha manake imekuwa ni kawaida sasa watu kuanza kulalamika na kulaumu hata kama hana uelewa wa jambo analolalamikia! Kwamba kwa nini wizara imewatumia Voda peke yao hilo mimi wala wewe hatuwezi kulisemea labda kama hayo makampuni mengine ya simu yakiongea au kupeleka malalamiko yao TCRA ndio tutajua ukweli isije kuwa kuna terms ambazo walishindwa kutimiza.
Kuhusu kuwa na bajeti ya kutangaza matokeo kwenye magazeti hilo sio kweli kabisa. Nina uhakika hakuna hata chombo kimoja cha habari kinacholipwa kwa ajili ya kutangaza matokeo. Ila huo ni ubunifu wao ili waongeze idadi ya wateja wa magazeti yao. Lete hoja nyingine tujadili!
Seminarini,mnafundishwa kikwelikweli,mwalimu afikirii mshaara wake utalipwa lini,mwanafunzi afikirii,kama atakula nini au maji ya kuoga yatapatikana wapi.Kila mwanafunzi ana vitabu vyoote vinavyotakiwa kwa mujibu wa syllabus,na mazingira ni mazuri,Seminarini akuna kwenda club au kuruka ukuta kwenda Bar.
Seminarini mnafundishwa ofu ya kumwogopa Mungu na kutii mamlaka,
Iliwai tokea Maua Seminary Moshi Miaka ya 80 mwishoni Kijana mmoja alipata A katika masomo karibuni yote,NECTA awakuamini wakamtungia yule kijana Mitihani yote mipya wakamsimamia wao wenyewe apo Dar.. Yule dogo akaongeza A nyingine kutoka katika hiyo mitihani aliotungiwa.Huu sio uzushi kwani ata mimi nimesoma Seminary.Seminary yetu Mwalimu wa Form One term ya kwanza nzima alikuwa bize kutafuta wanaotazamia wenzao wakati wa Test.Ilikuwa ni kwamba Ukikamatwa tu akuna lingine unafukuzwa shule apo apo!sisi tuliingia 35 form one lakini Form 4 tulimaliza 28.
Seminarini akuna longolongo.
Ata hizi shule kama Mirian au st Francis sio mchezo wanafunzi awachezi Kiduku,wanapiga kitabu
hatutaweza kulipa,Shule za kata ni gharama kwa taifa!!!!!!!!fidia yake sidhani kama tutaweza kulipa.